hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 853
- 2,037
Yaani mtu akifanya vema tunampongeza kwa kumuua,
Imagine ukifa unapumzika kwa amani.
Mihangaiko ya duniani unaiacha, unasahau shida zote za kila siku hutafuti hela , husikii njaa, huna mawazo, kiufupi ni peace tu.
Naona kifo ndio ingekuwa zawadi nzuri na ya thamani ya kumpatia mtu aliyefanya vizuri.
Au mnaonaje wadau.
Imagine ukifa unapumzika kwa amani.
Mihangaiko ya duniani unaiacha, unasahau shida zote za kila siku hutafuti hela , husikii njaa, huna mawazo, kiufupi ni peace tu.
Naona kifo ndio ingekuwa zawadi nzuri na ya thamani ya kumpatia mtu aliyefanya vizuri.
Au mnaonaje wadau.