Daniel kulwa Nyawayi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2017
- 277
- 187
Kama unajua ilo mbona unauliza mkuu wa polisi wa Zanzibar hateuliwi na rais wa Zanzibar jeshi lote lipo chini ya rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ndio maana rais wa Zanzibar hateuwi,sada na yeye akiteuwa kunakuwa na mamlaka ngapi za uteuzi na ndio maana kaapishwa na IGP kwa niaba ya raisIGP ni mkuu wa polisi wa Tanzania nzima sio bara peke yake