Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,702
- 45,025
Nimeona Kamshina wa Polisi Mohamed Hassan Haji ameteuliwa na Rais John Magufuli kuwa Kamishna wa Jeshi hilo kwa upande wa Zanzibar.
Kwanini uteuzi wa Kamishna wa Polisi wa Zanzibar ambaye ni kama Mkuu wa Jeshi la Polisi Zanzibar hateuliwi na Rais Shein wa Zanzibar? Mbaya zaidi hata kiapo chake kimefanyika Bara na sio huku Visiwani?
Kwanini uteuzi wa Kamishna wa Polisi wa Zanzibar ambaye ni kama Mkuu wa Jeshi la Polisi Zanzibar hateuliwi na Rais Shein wa Zanzibar? Mbaya zaidi hata kiapo chake kimefanyika Bara na sio huku Visiwani?