Kwanini Kamishna wa Polisi Zanzibar hateuliwi na Rais wa Zanzibar?

Inaonesha kiasi gani Wana JF mlivyo washamba hivi inaamana hamjui kama Wizara ya Mambo ya ndani , Wizara ya Ulinzi na Wizara ya muungano na Mazingira ni Wizara za Muungano? Kwa mujibu wa Katiba Wizara zote za Muungano Rais wa Jamhuri ya Muungano anamamlaka ya kuteua Mawaziri, Makatibu Wakuu hadi Makamishina acheni Ushamba nyie CHADEMA
 
Inaonesha kiasi gani Wana JF mlivyo washamba hivi inaamana hamjui kama Wizara ya Mambo ya ndani , Wizara ya Ulinzi na Wizara ya muungano na Mazingira ni Wizara za Muungano? Kwa mujibu wa Katiba Wizara zote za Muungano Rais wa Jamhuri ya Muungano anamamlaka ya kuteua Mawaziri, Makatibu Wakuu hadi Makamishina acheni Ushamba nyie CHADEMA
Hilo si jamii forums tu bali watanzania wote hawajui mkataba wa muungano na yepi mambo si ya muungano na limitation za mamlaka ya raisi wa JMT na raisi wa ZNZ. tatizo nilichogundua hapa watu wanajifanya wajuaji lakini vichwani hamna kitu na wengie wao wanaishia kutoa maneno ya kejeli kwani huo ndiyo mwisho wa kufikiria kwao na njia pekee ya kutojulikana weakness yao ni kuaza kutoa maneno ya kejeli na matusi.
Wajiulize kwa nini Raisi wa Jamuhuri ya muungano tangu ilipoasisiwa nchi hii hajawahi kukagua gwarinde sherehe za mapinduzi kama yeye si amiri jeshi Mkuu na kama Raisi wa znz ni mjumbe wa nyumba 10 au mjumbe wa baraza la mawaziri tu nimambie kwa nini anakagua na hakuna kiongozi hata mmoja wa SMT alisema nyoko na niambieni waziri mkuu gani wa Tanzania amewahi kupigia miziga.. hayo majibu mtakayoyapata yanaweza kukupeni akili
 
Nimeona Kamshina wa Polisi Mohamed Hassan Haji ameteuliwa na Rais John Magufuli kuwa Kamishna wa Jeshi hilo kwa upande wa Zanzibar.

Kwanini uteuzi wa Kamishna wa Polisi wa Zanzibar ambaye ni kama Mkuu wa Jeshi la Polisi Zanzibar hateuliwi na Rais Shein wa Zanzibar? Mbaya zaidi hata kiapo chake kimefanyika Bara na sio huku Visiwani?
Kama haukusoma civic utauliza ujinga kama huuuu ,kaombe watoto wa A level wakuelezee usile muda wetu hapa
 
Residual power ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Zanzibar haina jeshi na wala si dola.
 
Residual power ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Zanzibar haina jeshi na wala si dola.
Sababu kuu ni kuwa Wizara mambo ya ndani na Ulizi ni mambo ya Muungano.Kama kweli ni amri jeshi mkuu ulizia Mgogoro uliotaka kutokea katika vita vyua unganda...Na kwa nini Raisi wa Zanzibar ndiyo anakagua gwarinde na kupigiwa mizinga sherehe za za mapinduzi ilhali wa Muungano yupo Uwanjani...
 
Nimeona Kamshina wa Polisi Mohamed Hassan Haji ameteuliwa na Rais John Magufuli kuwa Kamishna wa Jeshi hilo kwa upande wa Zanzibar.

Kwanini uteuzi wa Kamishna wa Polisi wa Zanzibar ambaye ni kama Mkuu wa Jeshi la Polisi Zanzibar hateuliwi na Rais Shein wa Zanzibar? Mbaya zaidi hata kiapo chake kimefanyika Bara na sio huku Visiwani?


Hakuna jeshi la Polisi Zanzibar.
 
Mbona unaongea Pumba wewe.. hebu nyamaza kimya kenge wewe. wimbo wa Taifa wa Zanzibar upo hata hiyo CUF haijulikana kama kuna siku itakuja kuzaliwa. hebu nenda kasome vizuri kwanza ndiyo uje hapa na upumbavu wako

Hata Zanzibar ilikuwa Nchi kabla ya kuzaliwa Seif lakin Leo analilia Zanzibar iwe Nchi!
Eti wimbo wa Taifa wa Zanzibar! Utakuaje na Wimbo wa Taifa wa Zanzibar wakati Sio Taifa?

Tulia utawaliwe weeee!

Katoka Mwarabu akaingia Mwingereza alipochoka Mwingereza akamuachia Mtanganyika na akichoka Mtanganyika atamuachia Mmakonde wa Msumbiji!

Nyie Mmezaliwa kutawaliwa tulieni
 
Hata Zanzibar ilikuwa Nchi kabla ya kuzaliwa Seif lakin Leo analilia Zanzibar iwe Nchi!
Eti wimbo wa Taifa wa Zanzibar! Utakuaje na Wimbo wa Taifa wa Zanzibar wakati Sio Taifa?

Tulia utawaliwe weeee!

Katoka Mwarabu akaingia Mwingereza alipochoka Mwingereza akamuachia Mtanganyika na akichoka Mtanganyika atamuachia Mmakonde wa Msumbiji!

Nyie Mmezaliwa kutawaliwa tulieni
Hahahaha kama nyinyi mlivyozaliwa kuwa watumwa na mkiulzwa kama pipi znz pale.Nakuambia tena inaonyesha uelewa wako ndi mdogo sana angalia tafuta historia ya wimbo wa Taifa wa znz naona umekariri..
 
Hahahaha kama nyinyi mlivyozaliwa kuwa watumwa na mkiulzwa kama pipi znz pale.Nakuambia tena inaonyesha uelewa wako ndi mdogo sana angalia tafuta historia ya wimbo wa Taifa wa znz naona umekariri..

Pumbav, mmeanza kupigania Bendera na wimbo wa Taifa wakati Taifa hamna!

Zanzibar ndio Soko la Watumwa na ukijiona uko Zanzibar Jua Babu zako waliuzwa huko ndio Wewe ukazaliwa huko,
Na Rais wenu wote wanachaguliwa na Wafipa na wanyaturu wa huku bara kuanzia Jumbe mpaka Shein lakin mko bize kupigania Eti 'wimbo wa Taifa'

Rais wa 7 pia mtaletewa huko 2020 baada ya Wagogo na Wamakonde kumchagua Dodoma
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom