Kwanini Ikulu inaendelea kuudanganya ulimwengu?

Kwanini Ikulu inaendelea kuudanganya ulimwengu?

okello hakuwa mzanzibar wewe.yule alikuwa gaidi.hawezi kuingia kwenye historia ya zanzibar.mapinduzi yaliongozwa na karume. Mbona wewe unatudanganya ni mtoto wa nyerere
kama hutojali tafuta muda ujisomee kitabu hiki ili usipoteze mda kupigana na ukweli ambao ni kama ukuta ukipigana nao utaumia
 
Mtailaumu hii Ikulu bure.
Hii historia iliyoitoa ikulu kwa ufupi katika taarifa yake, imeirithi tuu kutoka kwa Mwalimu Nyerere ambaye ndiye wa kwanza kukaa pale ikulu.

kama kuna wa kulaumiwa katika kubadili historia ya Zanzibar, basi Nyerere anaplay part kubwa sana.

Ilibadilishwa kwa malengo gani? sijui.
 
okello hakuwa mzanzibar wewe.yule alikuwa gaidi.hawezi kuingia kwenye historia ya zanzibar.mapinduzi yaliongozwa na karume. mbona wewe unatudanganya ni mtoto wa nyerere

Duuh sio mtoto wa nyerere ni tapeli wa jina
 
Nashangazwa na kiwango cha uandishi wa habari hii hususan mpangilio na mtiririko wa habari. Ni vgumu kuamini kuwa habari hii imetoka katika Kurugenzi ya Mawasiliano ya Raisi. Aliyeandika habari hii hakwenda shule kusomea fani anayoifanya?THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS



Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com press@ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425

PRESIDENT’S OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.

Hapo kwenye red: Kitaalamu ni kosa kubwa mno kwa dola kutumia generic email servers kama hizi, wakati kuna sever ya serikali. Hii inamaanisha hata hackers wa kawaida anaweza akaingia kwenye inbox na akachukua siri za nchi kirahisi tu. Wataalamu wa IT hili inabidi walifanyie kazi, tuna servers zetu, why yahoomail anyway?
 
hivi harakati za kumng'oa mabutu zilianza lini?kabila aliingia lini madarakani?acha uongo kabila hajawahi kusaidiwa na che guevara hata siku moja wewe.harakati za kumtoa kabila zilianza wakati che guevara ameshakufa siku nyingi
​haiyumkiniki ndio nyie mliopata division 5...teehteeh
 
Nani aliongoza mapinduzi au nani alifanya nini haitusaidii sana kwa wakati huu...muhimu ni mwarabu alipigwa kibuti huko znz na ngozi nyeusi ikachukua dola...sijui okello au karume hivyo ni vikorombwezo tu..havihusu kwa muda huu..
 
laurent kabila aliwekwa madakani kwa msaada wa akina kagame.che guevara huusiki hapa mkuu

Sio kosa lako ni shule yako ndogo..peruzi tena vitabu ndo utajua che guevara alishatia timu hadi hapo bongo..bongo ilkua ndo maskani ya wanamapinduzi Afrika...ndo maana L.Kabila alikua anaishi hapo..na kwa kifupi basi Che Guevara alishashiriki vita vya Congo akimsaidia huyo huyo kabila...hio unayoongea ya kina kagame ni juzi juzi ndo maana nakwambia rudi darasani ili uiondoe hio div.5.....haahahaa.
 

Sio kosa lako ni shule yako ndogo..peruzi tena vitabu ndo utajua che guevara alishatia timu hadi hapo bongo..bongo ilkua ndo maskani ya wanamapinduzi Afrika...ndo maana L.Kabila alikua anaishi hapo..na kwa kifupi basi Che Guevara alishashiriki vita vya Congo akimsaidia huyo huyo kabila...hio unayoongea ya kina kagame ni juzi juzi ndo maana nakwambia rudi darasani ili uiondoe hio div.5.....haahahaa.

Mpeni somo wakuu asiishi kwa kukariri Bali kwa tafakuri tena ya hali ya juu....Karibu jf
 
Kuongoza mapinduzi sio lazima kuwa Karume alikuwepo mwenyewe mstari wa mbele, inawezekana yeye kama kiongozi alikuwa naatoa amri kwa wapiganaji wake toka mbali. Huenda huyo Okello alikodishwa kutokana na utaalamu wake katika vita.
 
Kuongoza mapinduzi sio lazima kuwa Karume alikuwepo mwenyewe mstari wa mbele, inawezekana yeye kama kiongozi alikuwa naatoa amri kwa wapiganaji wake toka mbali. Huenda huyo Okello alikodishwa kutokana na utaalamu wake katika vita.

waambie mkuu. ile picha ya okello imewachanganya sana.okello alikuwa kibaraka wa magharibi ndio maana nyerere hakumuona mwanamapinduxi。alimuona kama mvamizi tu
 
Akili ingekuwa mdo kiungo cha uzazi, wewe ungekuwa huzai

ngoja nikuulize.che guevara alikamatwa mwaka gani?.laurent kabila aliivamia zaire mwaka gani? ukipata majibu ndio utajua kama che guevara alishiriki kumtoa mobutu au la
 
laurent kabila aliwekwa madakani kwa msaada wa akina kagame.che guevara huusiki hapa mkuu

Ndugu wewe unamatatizo kwelikweli,

Pokea darasa hili huru,

Mchwe, kipindi hicho Kabila alikuwa kijana, ndicho kipindi Che Guevara alikuja Dar akipita kuelekea Congo akitokea Msumbiji, Hapa Dar alikaa kwa siku tatu akila na kulala pale Fast food jengo la mavuno pale posta, wakati akiwa Dar, manowari za kivita za USA zilikuwa kilimita chache ya mwambao w bahari ya Tanzania, na USA ikamshinikiza Nyerere amkamate Che, lakini Nyerere alikataa na kumuongezea ulinzi, ikiwemo kusindikizwa hadi Kigoma mpaka misitu ya Kongo ambako alikutana na Kabila huko,

Che hakumaliza kazi ya ukombozi DRC, aliondoka baada ya kushindwana na Laurant Kabila akaondoa kwenda Bolivia

Anapoondoka Kongo alitoa hotuba thabiti kule msituni na moja ya nukuu muhimu katika hotuba ile ni hii:

"...Ni vigumu kutegemea vijana waliogubikwa na mawazo ya ngono na wasio na elimu endelevu kuleta mapinduzi katika nchi maskini! Mapinduzi hayaletwi na watu wanaoabudu `Ngono' na `Pombe!" ~ CHE GUEVARA".
 
hivi harakati za kumng'oa mabutu zilianza lini?kabila aliingia lini madarakani?acha uongo kabila hajawahi kusaidiwa na che guevara hata siku moja wewe.harakati za kumtoa kabila zilianza wakati che guevara ameshakufa siku nyingi

Wewe kweli kilaza unaamini Kabila alianza mapambano 1997 angaisha kichwa hiko ujue kwanin Kabila aliishi Tanzania baasa ya hapo njoo ukocomment humu.Utakuta mtu kama huyu anasomea diplomasia, nchi inapoelekea sipo.
 
Nikusaidie ndugu yangu,

Kwenye mapinduzi ya ukombozi wa muafrika kwanza ilikuwa ni uafrika, pili dhamira,

Utaifa yaikuwa ishu yamsingi,

Che Guevara ndie baba wa Taifa la Cuba, lakini yeye alikuwa ni Muajentina,

Vilevile alishitiki harakati za ukombozi wa DRC dhidi ya dikteta Mobutu,

Alishiriki akiwa sambamba na R. Kabila, na moja ya karipio lake kwa tabia mbaya ya Kabila ilikuwa ni,

"...Ni vigumu kutegemea vijana waliogubikwa na mawazo ya ngono na wasio na elimu endelevu kuleta mapinduzi katika nchi maskini! Mapinduzi hayaletwi na watu wanaoabudu `Ngono' na `Pombe!" ~ CHE GUEVARA (Maneno haya alimwambia kijana shupavu wa kivita, pale Congo DRC LAULENT KABILA 1964)


Kijana historia imekukaa.. nimependa jinsi unavyotukumbusha.
 
Back
Top Bottom