Kwanini Ikulu inaendelea kuudanganya ulimwengu?

Kwanini Ikulu inaendelea kuudanganya ulimwengu?

okello hakuwa mzanzibar wewe.yule alikuwa gaidi.hawezi kuingia kwenye historia ya zanzibar.mapinduzi yaliongozwa na karume. mbona wewe unatudanganya ni mtoto wa nyerere

Mkuu acha itkadi kasome historia, John Okello ndiye alieongoza mapinduzi
 
Hivi baba wa taifa, Julius K. Nyerere alihudhuria sherehe hizi za Mapinduzi mara kwa mara?
 
Sasa Sherehe za miaka 50, Mapumziko ya siku mbili, mengineo mengi ya kitaaifa yanamsaidia nini mwana wa kisiwani Unguja hadi Pemba?? Hali na maisha mnayajua wote !! Suali wandugu hivyo Kuwa na KUMBUKUMBU za mapinduzi zitamfaa nani aliye kuwa shambani bila huduma za matibabu au hata shule kwa watoto wao?!! Na aliyekuwa mjini gharama za umeme hazishikiki na Mfumko wa bei ukipanda kila siku, Ajiri ndiyo utata mkubwa kwa vijana walobobea vijiweni na Muhadarati zikiwatawala..!!! Jamani tutafakari na tuwe wakweli kimaadili. Mungu ibariki Tanzania.
 
Historia ina nadharia ya ajabu sana, haitofautiani na nadharia ya hisabati,

Ikulu ya Dar es Salaam inaendelea kuaminisha watu kuwa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliongozwa na Sheikh Karume ama mwanaharakati mashuhuru kutoka kundi la makuli ndani ya Bandari ya Zanzibar,

Na mwendelezo huo umo latika lamgambo lililo tawazwa leo mbele ya kadamnasi ya walimwengu.

Hili hapa:



Hebu tujikumbushe ukweli unaouma kwa ikulu ya Jamhuri,



Kwanini Ikulu inadanganya? Karume hakuongoza mapinduzi wala hakuyaona mapinduzi yale ndani ya miezi mitatu, yeye alikuwa Dar, Muasisi halisi na aliyeweza kuwanyoosha wabwanyenye ni Field Marshal John Okello, akaitawala Zanzibar kwa mkono wa chuma ndani ya miezi mitatu, na zaidi John Okello ndie Mwenyeiti wa kwanza wa baraza la Mapinduzi,

Abdulhman Babu ndie aliyepewa idara ya propaganda kuutangazia umma kuwa Karumena ASP ndio waliofanya mapinduzi, ni uongo mtupu, historia huwa haifichiki, Karume alikabidhiwa Zanzibar na Julius Nyerere hapa Uwanja wa Ndege wa Dar ule wa Zamani, tena kwa makubaliano kuwa Okello atakuwa Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi na Karume atakuwa Rais wa Zanzibar. Baada ya siku tatu Okello alipigwa ambushi na mtaalamu wa shabaha Daudi Mzena (TISS) au wengine katika idara walipenda kumuita the snake, huyu alimteka Okello kwa agizo la Nyerere na Karume kisha wakampeleka Kenya, walifika Nairobi Kenyatta akakataa kuwa huyo sio Mkenya, ndipo akarudishwa rasmi kwao Uganda, Huyo ndie Baba HALISI wa taifa la Zanzibar.

Mungu Ibariki Zanzibar, Mungu Ibariki


Usijali mkuu, watu wote wanafahamu ukweli ndio maana Kaguta Mu7 alikuja kwenye sherehe. Pili historia ya kweli itaandikwa tukivunja huu muungano wa serikali mbili
 
Fafanua.Alifanyaje hayo mapinduzi,kilitokea nini siku hiyo,kila mhusika ali play part ipi?mbona upo shallow.
Lengo letu humu ni kuelimishana.
kuwa dar sio tatizo.okello aliiteka zanzibar.tofautisha utekaji na mapinduzi.karume alifanya mapinduzi wakati okello alifanya utekaji.hapo ndio kuna tofauti
 
ukweli ni kati ya vitu ambavyo havifichiki daima
 
Fafanua.Alifanyaje hayo mapinduzi,kilitokea nini siku hiyo,kila mhusika ali play part ipi?mbona upo shallow.
Lengo letu humu ni kuelimishana.

ni hivi baada ya okello kuiteka zanzibar kwa umwagaji mkubwa wa damu wazanzibar hawakupenda.utawala wa okello ulikuwa ni wa mabavu uliombatana wa mauaji kwa wote waliompinga.askari wake watiifu hawakupenda utawala wake. kwa kushirikiana na karume wakafanya mapinduzi. baada ya okello kuona amezidiwa nguvu ndipo akamuita karume na kumkabidhi nchi ya zanzibar. kutokana na matendo yake ya kkikatili karume akamfukuza zanzibar. hivyo ndivyo ilivyokuwa
 
Una source yeyote ya habari yako utuwekee hapa tufanye refference mkuu?
ni hivi baada ya okello kuiteka zanzibar kwa umwagaji mkubwa wa damu wazanzibar hawakupenda.utawala wa okello ulikuwa ni wa mabavu uliombatana wa mauaji kwa wote waliompinga.askari wake watiifu hawakupenda utawala wake. kwa kushirikiana na karume wakafanya mapinduzi. baada ya okello kuona amezidiwa nguvu ndipo akamuita karume na kumkabidhi nchi ya zanzibar. kutokana na matendo yake ya kkikatili karume akamfukuza zanzibar. hivyo ndivyo ilivyokuwa
 
ni hivi baada ya okello kuiteka zanzibar kwa umwagaji mkubwa wa damu wazanzibar hawakupenda.utawala wa okello ulikuwa ni wa mabavu uliombatana wa mauaji kwa wote waliompinga.askari wake watiifu hawakupenda utawala wake. kwa kushirikiana na karume wakafanya mapinduzi. baada ya okello kuona amezidiwa nguvu ndipo akamuita karume na kumkabidhi nchi ya zanzibar. kutokana na matendo yake ya kkikatili karume akamfukuza zanzibar. hivyo ndivyo ilivyokuwa

Ili ujue historia hii yakupasa upinde mgongo, usikaririshwe tu mkuu,

Soma machapisho na maandiko mengi kuhusu Zanzibar,
 
ni hivi baada ya okello kuiteka zanzibar kwa umwagaji mkubwa wa damu wazanzibar hawakupenda.utawala wa okello ulikuwa ni wa mabavu uliombatana wa mauaji kwa wote waliompinga.askari wake watiifu hawakupenda utawala wake. kwa kushirikiana na karume wakafanya mapinduzi. baada ya okello kuona amezidiwa nguvu ndipo akamuita karume na kumkabidhi nchi ya zanzibar. kutokana na matendo yake ya kkikatili karume akamfukuza zanzibar. hivyo ndivyo ilivyokuwa

Daaah!! Upo shallow aisee...
 
hivi harakati za kumng'oa mabutu zilianza lini?kabila aliingia lini madarakani?acha uongo kabila hajawahi kusaidiwa na che guevara hata siku moja wewe.harakati za kumtoa kabila zilianza wakati che guevara ameshakufa siku nyingi

Hahaha jitahidi kusoma historia kabla ya kuanza ubishii... anamzungumzia Laurent Desire Kabila... Ni baba yake Joseph Kabila.. Si ajabu naye humjui?!
 
okello hakuwa mzanzibar wewe.yule alikuwa gaidi.hawezi kuingia kwenye historia ya zanzibar.mapinduzi yaliongozwa na karume. mbona wewe unatudanganya ni mtoto wa nyerere

Abeid Karume alikuwa ni mzanzibar? embu niambie baba yake na shangazi zake walikuwa wakiishi mitaa gani unguja? acheni udini
 
Hahaha jitahidi kusoma historia kabla ya kuanza ubishii... anamzungumzia Laurent Desire Kabila... Ni baba yake Joseph Kabila.. Si ajabu naye humjui?!

hakuna ubishi wowote hapa mkuu.najaribu kuweka mambo sawa.hebu nikuulize laurent kabila alianza uasi lini?enterehamwe wale warwanda alishirikiana nao lini? aliishi tanzania lini?alirudi zaire lini? hata kama alikutana na che guevara lakin hakumsaidia kwenye kumng'oa mobutu
 
ni hivi baada ya okello kuiteka zanzibar kwa umwagaji mkubwa wa damu wazanzibar hawakupenda.utawala wa okello ulikuwa ni wa mabavu uliombatana wa mauaji kwa wote waliompinga.askari wake watiifu hawakupenda utawala wake. kwa kushirikiana na karume wakafanya mapinduzi. baada ya okello kuona amezidiwa nguvu ndipo akamuita karume na kumkabidhi nchi ya zanzibar. kutokana na matendo yake ya kkikatili karume akamfukuza zanzibar. hivyo ndivyo ilivyokuwa

Sasa mbona sherehe inafanyika siku Okello alipopindua na sio siku karume alipomfukuza Okelo zanzibar?
 
Abeid Karume alikuwa ni mzanzibar? embu niambie baba yake na shangazi zake walikuwa wakiishi mitaa gani unguja? acheni udini

mkuu karume ni mzanzibar achana na story za vijiweni.huwezi kumfananisha karume na okello.okello alikuwa mganda.ukombozi wa zanzibar ulifanywa na karume .karume ndio baba wa zanzibar.alikuwa mzalendo wa kweli ndio maananyerere alikubali kushirikiana nae.we jiulize kwa nini nyerere hakumkubali okello.okello alikuwa kibaraka wa wazungu
 
Sasa mbona sherehe inafanyika siku Okello alipopindua na sio siku karume alipomfukuza Okelo zanzibar?

ni kwasababu ndio siku okello aliotangazia wazanzibar mapinduzi feki.wazanzibar kwa kutokujua kinachoendelea nyuma ya pazia wakaiamini.ikawa ngumu kuibadilisha.unajua zamani mambo mengi yalikuwa yanafanywa kwa kuficho sana
 
ni hivi baada ya okello kuiteka zanzibar kwa umwagaji mkubwa wa damu wazanzibar hawakupenda.utawala wa okello ulikuwa ni wa mabavu uliombatana wa mauaji kwa wote waliompinga.askari wake watiifu hawakupenda utawala wake. kwa kushirikiana na karume wakafanya mapinduzi. baada ya okello kuona amezidiwa nguvu ndipo akamuita karume na kumkabidhi nchi ya zanzibar. kutokana na matendo yake ya kkikatili karume akamfukuza zanzibar. hivyo ndivyo ilivyokuwa

Ulikuwepo? ?
 
Nashangazwa na kiwango cha uandishi wa habari hii hususan mpangilio na mtiririko wa habari. Ni vgumu kuamini kuwa habari hii imetoka katika Kurugenzi ya Mawasiliano ya Raisi. Aliyeandika habari hii hakwenda shule kusomea fani anayoifanya?



Mkuu,
Kwanza kwa uandishi huu nafikiri rais amezungukwa na watu ambao 'hawajiwezi' kupita kiasi!Na inawezekana tu ni mtoto wa mjomba kampa ajira mtoto wa shangazi,kwani kitaaluma sidhani kama mtoto wa darasa la Saba anaweza kuandika barua ya namna hii!Na hii ndo inafanya rais wetu anaonekana ni KILAZA!

Pili,nimesikitishwa sana na ujumbe uliopo ndani ya barua hiyo.Kumuita Abeid Karume kama muasisi wa mapinduzi hayo ni upotoshaji wa makusudi wa historia ya Zanzibar huru.Haiwezekani mtu aliyekuwa anapata ghahawa Tanganyika siku ya mapinduzi na kwa ustaarabu tu ya F.M. John G.Okello akamwita na kumpa urais leo hii ndio anageuka kuwa mwanamapinduzi.

Hii ni dhambi ya ubaguzi ambayo kamwe wazanzibar itawatafuna na haitawaacha!
 
Back
Top Bottom