Kwanini Ikulu inaendelea kuudanganya ulimwengu?

Kwanini Ikulu inaendelea kuudanganya ulimwengu?

mtaalamu wa shabaha Daudi Mzena (TISS) au wengine katika idara walipenda kumuita the snake

Huyu jamaa ana undugu na Emilio Mzena director wa kwanza wa TISS au unaongelea mtu yule yule ila umekosea jina?
 
okello hakuwa mzanzibar wewe.yule alikuwa gaidi.hawezi kuingia kwenye historia ya zanzibar.mapinduzi yaliongozwa na karume. mbona wewe unatudanganya ni mtoto wa nyerere
Wewe nawe...! hivi umejua kwa nini katika Afrika mashariki ni Rais Yoweri Museven ndiye amealikwa na kupewa fursa ya kuhutubia kwenye maadhimisho ya miaka hamsini ya mapinduzi ya Zanzibar? Wazanzibar wanatambua umuhimu wa Okello ndiyo maana wamemkaribisha...na yeye (Yoweri) akawashukuru kwa kutambua mchango wa Okello kwa kusema kinyume nyume kwa ati anawashukuru wazanzibari kwa kuisaidia Uganda kupambana na utawala dhalimu.
 
okello hakuwa mzanzibar wewe.yule alikuwa gaidi.hawezi kuingia kwenye historia ya zanzibar.mapinduzi yaliongozwa na karume. mbona wewe unatudanganya ni mtoto wa nyerere
Acha u m.a.ku wewe. Namsikiliza balozi ali karume sasa hivi saa 6:41 usiku tbc anaelezea kuhusumapinduzi ya zanzibar .
Ameeleza kwamba aliyeongoza mapinduzi ya zanzibar ni john okelo.
Acha umburura wako. Historia haiwezi kufichwa kirahisirahisi hivyo. MAKU wewe. Na unaudhi kwa kutaka kutupotosha
 
Acha u m.a.ku wewe. Namsikiliza balozi ali karume sasa hivi saa 6:41 usiku tbc anaelezea kuhusumapinduzi ya zanzibar .
Ameeleza kwamba aliyeongoza mapinduzi ya zanzibar ni john okelo.
Acha umburura wako. Historia haiwezi kufichwa kirahisirahisi hivyo. MAKU wewe. Na unaudhi kwa kutaka kutupotosha

mkuu tuache matusi okello aliiteka zanzibar.kiongozi wa mapinduzi alikuwa karume.hebu jiulize kwa nini nyerere hakumpenda okello?kwa nn okello alifukuzwa zanzibar? wazanzibar hawakumtaka okello kutokana na ukatili wake
 
ni kwasababu ndio siku okello aliotangazia wazanzibar mapinduzi feki.wazanzibar kwa kutokujua kinachoendelea nyuma ya pazia wakaiamini.ikawa ngumu kuibadilisha.unajua zamani mambo mengi yalikuwa yanafanywa kwa kuficho sana

unamaanisha tatizo halikuwa sultani kutawala bali tatizo alikuwa okello, na alichofanya kumtoa sultani sio ukombozi?
 
mkuu karume ni mzanzibar achana na story za vijiweni.huwezi kumfananisha karume na okello.okello alikuwa mganda.ukombozi wa zanzibar ulifanywa na karume .karume ndio baba wa zanzibar.alikuwa mzalendo wa kweli ndio maananyerere alikubali kushirikiana nae.we jiulize kwa nini nyerere hakumkubali okello.okello alikuwa kibaraka wa wazungu

Karume ni mtu wa malawi na wazazi na ndugu zake aliawaacha malawi , kawaulize akina Amani karume wanaendaga malawi kufanya nini? mbona malawi wapo akina karume wengi,majina yanayoanza na ka- kama kamuzu banda.soma historia iko wazi
 
Acha u m.a.ku wewe. Namsikiliza balozi ali karume sasa hivi saa 6:41 usiku tbc anaelezea kuhusumapinduzi ya zanzibar .
Ameeleza kwamba aliyeongoza mapinduzi ya zanzibar ni john okelo.
Acha umburura wako. Historia haiwezi kufichwa kirahisirahisi hivyo. MAKU wewe. Na unaudhi kwa kutaka kutupotosha
Hivi Maku iliwakosea nini?mbona maku imekuleta Duniani maku inaleta familia maku inawajengea watu nyumba inasababisha watu wamiliki magari pasipo kutarajia Maku kwa kuheshimika imekatazwa isibakwe wala kukeketwa Sasa Mbona wewe unafananisha maoni ya mtu na kiungo cha mama yako Mzazi kiungo cha shangazi yako dada yako nk jaribuni Kuwa na mbinu digital za matusi staili hii imepitwa na wakati
 
mkuu tuache matusi okello aliiteka zanzibar.kiongozi wa mapinduzi alikuwa karume.hebu jiulize kwa nini nyerere hakumpenda okello?kwa nn okello alifukuzwa zanzibar? wazanzibar hawakumtaka okello kutokana na ukatili wake

Kwa hiyo hii sherehe ya Mapinduzi matukufu inahusu mapinduzi gani kati ya Okello na Karume!!??
 
hivi maku iliwakosea nini?mbona maku imekuleta duniani maku inaleta familia maku inawajengea watu nyumba inasababisha watu wamiliki magari pasipo kutarajia maku kwa kuheshimika imekatazwa isibakwe wala kukeketwa sasa mbona wewe unafananisha maoni ya mtu na kiungo cha mama yako mzazi kiungo cha shangazi yako dada yako nk jaribuni kuwa na mbinu digital za matusi staili hii imepitwa na wakati
ha ha ha ha mkuu umeniacha hoi duuh
 
Kwa asilimia Fulani nakubaliana na Makene, huwa najiuliza kwa nini Okello hatajwi ila kwenye picha anatolewa tena na kofia yake ya Kijeshi, Mhe. Karume haonekani kwenye picha hata kidogo ila ndiyo mwanamapinduzi. Kuna kitu kimejificha hapo.
 
mkuu tuache matusi okello aliiteka zanzibar.kiongozi wa mapinduzi alikuwa karume.hebu jiulize kwa nini nyerere hakumpenda okello?kwa nn okello alifukuzwa zanzibar? Wazanzibar hawakumtaka okello kutokana na ukatili wake
halafu unaonekana unaleta ubishi wa vitu usivyovijua mkuu vitu vingine si vya kuleta ushabiki....mambo haya yanahitaji usomi na ujuzi ni bora unyamaze kuficha umamuma wako utapata aibu bure na kwa ushauri zaidi nakushauri usome kitabu cha ghassany "kwaheri ukoloni...kwaheri uhuru"
 
kwa asilimia fulani nakubaliana na makene, huwa najiuliza kwa nini okello hatajwi ila kwenye picha anatolewa tena na kofia yake ya kijeshi, mhe. Karume haonekani kwenye picha hata kidogo ila ndiyo mwanamapinduzi. Kuna kitu kimejificha hapo.
mkuu kama utapata muda unaweza ukasoma kitabu cha kwaheri ukoloni kwaheri uhuru cha harisi ghasany
 
okello hakuwa mzanzibar wewe.yule alikuwa gaidi.hawezi kuingia kwenye historia ya zanzibar.mapinduzi yaliongozwa na karume. mbona wewe unatudanganya ni mtoto wa nyerere

una siku moja na post 29... gademu, in a year utakua mbali kuliko wauza madini yetu
 
hivi harakati za kumng'oa mabutu zilianza lini?kabila aliingia lini madarakani?acha uongo kabila hajawahi kusaidiwa na che guevara hata siku moja wewe.harakati za kumtoa kabila zilianza wakati che guevara ameshakufa siku nyingi
Kabila aliwekwa na kina kagame
 
Kakariri mkuu, wafanyaje ili hali wanene wa forum wamewapa uhuru wa mapaka kwa PANYA.
Join Date : 12th January 2014 -Usidandie Train kwa Mbele kama hujui historia ya nnchi hii omba ushauri!
 
Back
Top Bottom