MankaM
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 9,448
- 3,070
hujui lusera kweli,huku mjini wanatengenezea juice huko kwetu tunaweka kwenye uji,uji unakua mwekundu.
Hahaaaaa ile inauchachu flani hivi inaongeza damu aisee daaa
hujui lusera kweli,huku mjini wanatengenezea juice huko kwetu tunaweka kwenye uji,uji unakua mwekundu.
Hahaaaaa ile inauchachu flani hivi inaongeza damu aisee daaa
hiyohiyo mama,ikiwekewa sukari tamu balaaaaaaaa
sijui atakubali maana mimi sio mhayamwambie akupe mgao mbonautaishi tu
Kinachokupendeza usikiache
sijui atakubali maana mimi sio mhaya
jiite rutashobwa atakupa tu
mmh we nae umezidi na viporo loh punguzu
ha ha ha ha nimekusoma ndiyo maana :yawn:!
!
Miss Chagga na wewe!? kiporo hakihitaji moto mwingi na wewe kukipasha, hata na gazeti tu au mshumaa inawezekana. Kwanza ukiona vipi unakila hivyohivyo. Muhimu kuwa na kiporo hasa wikiendi.
Mapishi mapya mlima japo chakula kinakuwa fresh.
nitajiita kabantega
hapo sawa nakusubiria
duh!hatariii!
Watu wengi hatuko waaminifu asilimia 100. Kama hatuchiti kikweli kweli basi tunachiti kihisia.
Ndo sababu ya kuhoji 'kwa nini huniamini'.
Nashindwa kuelewa hili tatizo, mtu yupo radhi kuvua chupi akae uchi mbele ya mpenzi wake lakini hawezi kumpa mwenzi wake simu aangalie hata picha..!
Nashindwa kuelewa hili tatizo, mtu yupo radhi kuvua chupi akae uchi mbele ya mpenzi wake lakini hawezi kumpa mwenzi wake simu aangalie hata picha...!
Nyingine password kila idara msg, phonebook Yani cm na michepuko ni janga la kitaifa kama Aids