Kwanini huniamini?

Kwanini huniamini?

!
!
kama kati ya vitu navitamani basi ni hicho cha kujisafisha, na niwe na mmoja tu. Lakini nimejenga tabia ya kupenda mno viporo, yani sana kiasi kwamba huwa nikihitaji napasha tu fasta kwani havihitaji mito mwingi najikuta naelea humohumo kwenye. Daaaah noma mno aisse.
Nadhani kuwa clean is impossible, labda sijui uweje aisee.

Haya kila la kheri
 
unatamani umrukie umle nyama

!
!
@kiomba simu joto linapanda mno aisee. Noma zaidi simu iko silent bila hata vibration karibu na tv au radio mara unasikia titititititiiiiiii kutoka kwenye spika unaona loooh patanuka hapa...... siku hizi nimegundua airplane mode on ngoma mpaka asubuhi haiiiti wala haizimi.
 
!
!
@kiomba simu joto linapanda mno aisee. Noma zaidi simu iko silent bila hata vibration karibu na tv au radio mara unasikia titititititiiiiiii kutoka kwenye spika unaona loooh patanuka hapa...... siku hizi nimegundua airplane mode on ngoma mpaka asubuhi haiiiti wala haizimi.
mmh we nae umezidi na viporo loh punguzu
 
Mie ukinifatilia utakayojua ni bora usiniulize!!!!!!! yenyewe tu hainaga shombo ya peke yako utaipata wapi????
 
!
!
@kiomba simu joto linapanda mno aisee. Noma zaidi simu iko silent bila hata vibration karibu na tv au radio mara unasikia titititititiiiiiii kutoka kwenye spika unaona loooh patanuka hapa...... siku hizi nimegundua airplane mode on ngoma mpaka asubuhi haiiiti wala haizimi.

duh!hatariii!
 
Back
Top Bottom