Kwanini huniamini?

Kwanini huniamini?

"sasa nakujibu nini wakati hayupo huyo wa kuwa mwaminifu kwake!!!"

yes nikujibu nn wakati wa kuwa mwaminifu kwake hayupo???? so hilo swali nadhani limewahi kabla ya wakati wake
 
yes nikujibu nn wakati wa kuwa mwaminifu kwake hayupo???? so hilo swali nadhani limewahi kabla ya wakati wake


Ooh..sasa nimeelewa, kumbe yupo lakini huna sababu ya kuwa mwaminifu kwake..daaamn!!
 
Ooh..sasa nimeelewa, kumbe yupo lakini huna sababu ya kuwa mwaminifu kwake..daaamn!!

hahahaaaaa!!! u like to read my mind, nakupeleka mbele nakurudisha nyuma umo tu, in short ni kuwa hakuna mtu mwaminifu kama mimi,nikijaribu walaa haikuchukui muda hata wa wk kunigundua, why? niliwahi kujaribu yakanitokea puani so sioni mantiki yake tena!!! so nikiwa na mtu ni huyo tu tatizo nardhikaga sana

ila suala linabaki pale pale kuwa sipendi mtu yeyote yule kushika simu yangu hata mpz wangu!
 
atoto, kwani huna boyfriend kweli?..au tayari ushaanza...teeeeeh!
ngoja nimuite yule jamaa nimuulize coz nilidhani yeye no mmiliki...!

hebu naomba niume sikio kidogo hapa, huyu jamaa ulokuwa unamuongelea hapa ni nani?
 
Last edited by a moderator:
Mie huwa nakasirika mtu ambae anajijua kabisaa he or she is not trustworthy halafu anauliza hilo swali. Na anajijua ameshakudanganya ukamdaka before na anataka kuaminiwa. Uzuri mie simuamini hata pope. Nikimgundua cheater kiukweli huwa sishtuki
Watu wengi hatuko waaminifu asilimia 100. Kama hatuchiti kikweli kweli basi tunachiti kihisia.

Ndo sababu ya kuhoji 'kwa nini huniamini'.
 
nadahani nikizinduka yeye atakuwa mauti uti ... simu inamengi kama moyo wake sasa usipende sana kujua

Mimi nadhani kuanza kupekenyua simu za wanawake ni kuwakosea adabu, ni kama kupenda kukaa kwenye baraza zao wakiwa na maongezi yao faragha. Ukitaka picha muombe akuonyeshe zile anazoona unastahili kuziona. Sasa unataka uone na picha alizotumiwa na mashoga zake, rafiki zake wa shuleni, rafiki za shemeji zako, utapanic halafu uanze kuuliza maswali ya ajabu. Akicheat unaweza kumchunga wewe?
 
Mimi nadhani kuanza kupekenyua simu za wanawake ni kuwakosea adabu, ni kama kupenda kukaa kwenye baraza zao wakiwa na maongezi yao faragha. Ukitaka picha muombe akuonyeshe zile anazoona unastahili kuziona. Sasa unataka uone na picha alizotumiwa na mashoga zake, rafiki zake wa shuleni, rafiki za shemeji zako, utapanic halafu uanze kuuliza maswali ya ajabu. Akicheat unaweza kumchunga wewe?

baambieeee!!!
 
Back
Top Bottom