Mkuu
Eli79 nilikuwa nimeamua kufuatilia huu uzi kimya kimya ili nisome tu na sikupenda kuchangia. Comment zako hasa ndo zimenifanya nichangie! Kuna watu ukisoma mawazo yao unashangaa na wakati mwingine huamini wanachosema. Mtu ambae anavua nguo mbele yako, unamshika kila sehemu ya mwili,huna wasiwasi kwamba anaweza kukunyonga ukiwa umelala lkn eti simu inaonekana Muhimu kuliko yote hayo!!! Eti simu ashike yake na me nishike yangu! Hivi mnatania au mko serious!? Hasa mkuu
atoto &
miss chagga siwaelewi kwakweli. Hivi simu yangu km haina charge siwezi kutumia simu yako!?