Kwanini hizi simu zinawahi kupoteza ubora wa camera?

wadau naombeni msaada nina htc desire bt tangu ninunue nlikuwa napga picha tu vzuri lakn baadae ikawa haikubali kabisa kupiga picha zote mbli mpaka ile ya mbele na nlipojaribu kurestore ndo mpaka ile icon ya kamera imetoka wala hainekani so naomben msaada wenu kwa wajuzi wa mambo
 
wadau naombeni msaada nina htc desire bt tangu ninunue nlikuwa napga picha tu vzuri lakn baadae ikawa haikubali kabisa kupiga picha zote mbli mpaka ile ya mbele na nlipojaribu kurestore ndo mpaka ile icon ya kamera imetoka wala hainekani so naomben msaada wenu kwa wajuzi wa mambo
nenda playstore halafu search camera download app nyengine ya camera mfano camera 360 utest na hio
 
nenda playstore halafu search camera download app nyengine ya camera mfano camera 360 utest na hio
Chief naomba msaada wako kimawazo ili kujua tatizo... Simu yangu HTC e9 plus dual sim imeanza tatizo la kuzima ghafla hata kama ina charge mfano 86% inadrop mpaka zero na kuzima ukiwasha inarudi kwenye battery level iliyokuwepo... Tatizo ni nini na nifanye nini? Asante Sana
 
Chief naomba msaada wako kimawazo ili kujua tatizo... Simu yangu HTC e9 plus dual sim imeanza tatizo la kuzima ghafla hata kama ina charge mfano 86% inadrop mpaka zero na kuzima ukiwasha inarudi kwenye battery level iliyokuwepo... Tatizo ni nini na nifanye nini? Asante Sana
battery linatoka? inawezekana limelegea.

na ikirudi pale unapowasha inazima tena? au unaendelea kutumia?
 
ef6a28aa6f995b7bdff18e7b5b1f67e9.jpg
 
battery linatoka? inawezekana limelegea.

na ikirudi pale unapowasha inazima tena? au unaendelea kutumia?
Nikiwasha inaendelea kutumika na Level ya betri inarudi kama ilivyokua kabla haijadrop to zero na kuzima...

Ila baada ya muda au kesho yake inarudia hivyo tena..

Sijawahi ifungua ngoja nione mitakupa jibu la hili
 
Chief-Mkwawa, post: 19888659, member: 44606"]battery linatoka? inawezekana limelegea.

na ikirudi pale unapowasha inazima tena? au unaendelea kutumia?[/QUOTE]

Nimeangalia ni non removable battery
 
Chief nina samsang s3 kila md inaandik unfortunatelly apps has stopped, nn tatzo naomb njia ya kusolv ilo tatz
 
Me binafsi sizipendi kbs tecno kwanza mbovu me nimenunuliwa nikaletewa tecno m3 libovu tu ukifungua facebook inazima mmxxiuuuu lkn kwa akili yangu sinunui tecno ishanitesa sanaa......
 
Me binafsi sizipendi kbs tecno kwanza mbovu me nimenunuliwa nikaletewa tecno m3 libovu tu ukifungua facebook inazima mmxxiuuuu lkn kwa akili yangu sinunui tecno ishanitesa sanaa......
nlitumia tecno m3 kwa miaka 2 na ubora wake ulikuwa pale pale labda wewe ulikuwa na copy yake.
 
Back
Top Bottom