Kwanini hizi simu zinawahi kupoteza ubora wa camera?

hazole1

JF-Expert Member
Jan 3, 2015
4,319
3,911
Hizi simu mm nimezitumia sana Kwa mfano kama tecno lg htc. unakuta zinajitahidi kupiga sana camera zikiwa mpya lakini siku zinapo zidi kwenda mbele lile jicho ndio linazidi kufifia hata kama kama ile grass iliyo juu ya kama haijakwaluzika.
Unakuta sometime ukimpiga mtu picha anatoka kama wamemmwagiwa majivu.

Hadi inafikia hatua ukiona wenzako wanapiga picha ww unaona aibu kutoa simu.

Ila naona sumsang simu zao zinafanya vizuri kidogo nina note 4 saizi imemaliza mwaka ila ubora wake camera upo vile vile.
 
Kwa mfano kama tecno lg htc. unakuta zinajitahidi kupiga sana camera zikiwa mpya lakini siku zinapo zidi kwenda mbele lile jicho ndio linazidi kufifia hata kama kama ile grass iliyo juu ya kama haijakwaluzika.
Unakuta sometime ukimpiga mtu picha anatoka kama wamemmwagiwa majivu.

Hadi inafikia hatua ukiona wenzako wanapiga picha ww unaona aibu kutoa simu.

Ila naona sumsang simu zao zinafanya vizuri kidogo nina note 4 saizi imemaliza mwaka ila ubora wake camera upo vile vile.
Kwa upande wa HTC naona kuna ukweli
 
mkuu acha kujipa moyo tembea barabarani huku ukifanya research ndogo, angalia watu wamebeba simu gani mkononi, I am sure by the end of the day utagundua zaido ya 50% ya watu uliopishana nao wamebeba samsung na siyo tecno
Inawezekana hata zaidi ya 90% lkn sio kwamba wanapenda uwezo wa kipesa ni mdogo.Ukimuuliza unatumia simu gani hapo chek lingolongo lake sasa,ooh usione hivi hii tekno nj hatari inapiga picha umbali wa km 2 kutoka hapa ooh hii ni 5g maneno meeengi.Team tekno hua haijiamini.
 
Lakini lazima ubora wa camera ulipungua kidogo.
Ila ww hilo haukulichunguza vizuri ukawa unaona ni kawaida.
Kwasababu ulikaa nayo sana.
Sikuona tatizo hilo kabisa,ubora wa picha ulikuwa ule ule.
 
Hizi simu mm nimezitumia sana Kwa mfano kama tecno lg htc. unakuta zinajitahidi kupiga sana camera zikiwa mpya lakini siku zinapo zidi kwenda mbele lile jicho ndio linazidi kufifia hata kama kama ile grass iliyo juu ya kama haijakwaluzika.
Unakuta sometime ukimpiga mtu picha anatoka kama wamemmwagiwa majivu.

Hadi inafikia hatua ukiona wenzako wanapiga picha ww unaona aibu kutoa simu.

Ila naona sumsang simu zao zinafanya vizuri kidogo nina note 4 saizi imemaliza mwaka ila ubora wake camera upo vile vile.
tecno gani, lg gani, htc gani? hizo lg na Htc ulizikagua sio clone?
 
Hizi simu mm nimezitumia sana Kwa mfano kama tecno lg htc. unakuta zinajitahidi kupiga sana camera zikiwa mpya lakini siku zinapo zidi kwenda mbele lile jicho ndio linazidi kufifia hata kama kama ile grass iliyo juu ya kama haijakwaluzika.
Unakuta sometime ukimpiga mtu picha anatoka kama wamemmwagiwa majivu.

Hadi inafikia hatua ukiona wenzako wanapiga picha ww unaona aibu kutoa simu.

Ila naona sumsang simu zao zinafanya vizuri kidogo nina note 4 saizi imemaliza mwaka ila ubora wake camera upo vile vile.
Kwenye suala hili kuna ukweli ndani yake haswa kwa HTC ONE M series kuanzia M7, M8 na baadhi ya HTC Desire models ambazo zinakabiliwa na tatizo la Pink au Blue tint hasa ukipiga picha sehemu zenye mwanga mdogo. HTC walitoa taarifa kuhusu tatizo hili wakisema kuwa sababu ilikua ni camera sensor waliotumia.
Kwa upande mwingine kwa mfano TECNO kufifia kwa ubora wa picha sababu ni ubora mdogo wa Camera lid (kile kioo pale kwenye sensor ya camera) ambavyo kutokana na udhaifu wa utengenezaji kioo kile huwa kinaruhusu hewa, vumbi kuingia kwenye jicho la kamera hivyo kupelekea picha kuwa hafifu na mara nyingi vioo hivi vinakwaruzika kirahisi sana hivyo kuzuia lens kuona mwanga katika ubora wake.
Kumbuka kwamba camera lens za kwenye simu ni ndogo sana hivyo basi vumbi au umande kidogo tu unatosha kuifanya camera kupoteza uwezo wake wa kutoa picha angavu.
CHA KUFANYA, unapopata simu yako nunua case nzuri na pia zingatia matunzo na usafi wa simu yako na mazingira unayoweka simu yako. Simu yeyote inahitaji matunzo ili idumu kwa muda iwe ni ya bei ghali kama iPhone 7, Galaxy S7 au ya bei nafuu kama Tecno Y3 zote hizi zinahitaji matunzo na usafi.
 
Kwenye suala hili kuna ukweli ndani yake haswa kwa HTC ONE M series kuanzia M7, M8 na baadhi ya HTC Desire models ambazo zinakabiliwa na tatizo la Pink au Blue tint hasa ukipiga picha sehemu zenye mwanga mdogo. HTC walitoa taarifa kuhusu tatizo hili wakisema kuwa sababu ilikua ni camera sensor waliotumia.
Kwa upande mwingine kwa mfano TECNO kufifia kwa ubora wa picha sababu ni ubora mdogo wa Camera lid (kile kioo pale kwenye sensor ya camera) ambavyo kutokana na udhaifu wa utengenezaji kioo kile huwa kinaruhusu hewa, vumbi kuingia kwenye jicho la kamera hivyo kupelekea picha kuwa hafifu na mara nyingi vioo hivi vinakwaruzika kirahisi sana hivyo kuzuia lens kuona mwanga katika ubora wake.
Kumbuka kwamba camera lens za kwenye simu ni ndogo sana hivyo basi vumbi au umande kidogo tu unatosha kuifanya camera kupoteza uwezo wake wa kutoa picha angavu.
CHA KUFANYA, unapopata simu yako nunua case nzuri na pia zingatia matunzo na usafi wa simu yako na mazingira unayoweka simu yako. Simu yeyote inahitaji matunzo ili idumu kwa muda iwe ni ya bei ghali kama iPhone 7, Galaxy S7 au ya bei nafuu kama Tecno Y3 zote hizi zinahitaji matunzo na usafi.
pink tint walisha i solve na software update kama kumbukumbu zangu zipo sahihi
 
Back
Top Bottom