Kwanini hivi jamani...

Wamezidi tabia. Mhenga tukiwapata wanaume wa hivi Mara moja moja mbona wataacha umbea tuu.
Waliowahi kum private massage wajiandaa kuja kuvuliwa nguo hadharani .
Midume minafiki hii ndiyo dawa yao lazima uwachane direct.
Ulimpa uchi au?
 
Weye nakuaminia. Kuna uzi mmoja hapa siku chache zilizopita naona siku hiyo uliamua maana karibu uvunje mbavu zangu kwa majibu yako mubashara bila kupindisha. Nadhani uliona likes za kutosha kutoka kwa BAK ila nilicheka sana aisee.
Asante mkuu niliona. Mi tutongozane hapa hapa kwa kweli..pm panaogopesha!
 
Haya banaa huu utaitwa mtongozo live khe kheee kheeeee. Kama ule wa beberu na mrembo wake mara kamchezea mbavu mara kabinua midomo yake kama anataka uhakiki wa kinywa chake kama kisafi wakati huo mrembo anajibaraguza kama anataka kukimbia lakini haendi kokote. Kumbe anasikia raha hadi kumoyo mara tu beberu kapewa go ahead haya chukua papuchi kwa raha yako lol! Mambo yote hadharani.

Asante mkuu niliona. Mi tutongozane hapa hapa kwa kweli..pm panaogopesha!
 
kweli kabisa kuna watu nawafahamu humu na sijutii kuwajua
natamani ningewajua mapema kabla ya hapo

sent from motorola bapa and nokia jeneza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…