Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,466
- 13,031
Id ni fake but people are real.
Word dear!, na kuna wengine wanaficha haiba nyuma ya ID fake. Kumbe wanajulikana vizuri reality yao.
Id ni fake but people are real.
Upi huo tena cuzoo mbona uhenga wako unatuzidi jamaanHuo wa JLW nimeuona naulizia huo mwingine

Am good dear.Nimeamka dear mzima weye?!
We upo kwenye kundi lipi la utahira?jichekee tu dada ake benpol jaman tufanyaje sasa watu na utahira wao
Word dear!, na kuna wengine wanaficha haiba nyuma ya ID fake. Kumbe wanajulikana vizuri reality yao.

Auntie kwani we unaona nipo kundi lipiWe upo kwenye kundi lipi la utahira?
jichekee tu dada ake benpol jaman tufanyaje sasa watu na utahira wao

https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1275364/Nipe title pleaseeee
La wahenga.Auntie kwani we unaona nipo kundi lipi
Ewaaaaaa auntieLa wahenga.
Thanks nilishausaka huko nikauona
Huo ulioleta ushambengaUpi huo tena cuzoo mbona uhenga wako unatuzidi jamaan![]()

Si huo wa kusutana cuzoo![]()
![]()
![]()
upiiiiii
Nakuona ulivyokaa kwenye charge hapoKwahiyo jamani dude ndio limeisha?!...ila wadada wa humu washari sana
Sijui kama haya maneno mngekuwa mnarushiana huku mmeshika mic ingekuwaje.
Dira limechomekwa kwny chu.pi yani ubaya ubaya tu hapo jibaba unapigwa hadi masingi bila kutumia ubavu unahadhirika

Si huo wa kusutana cuzoo



cuzoo umenishinda aisee sijui uzi gani huo geni na maseratiii ebu mkuje mumjibu cuzoo na dark angelHuo aliokuwa anauzungumzia dark angel cuzoocuzoo umenishinda aisee sijui uzi gani huo geni na maseratiii ebu mkuje mumjibu cuzoo na dark angel
