Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,405
- 31,386
Na mjadala upo kistaarabu kabisa. Ghadhabu za nini?Nguruvi 3,
Mimi huwa sishinikizwi.
Hupenda kufanya mjadala wa kistaarabu.
Wala sioni shida kujibu swali lolote kwani kama sijui nitakwambia.
Ni hoja tu zimewekwa kwa namba ili kusaidia mawasiliano
Tafadhali karibu bandiko#158 tuyazungumze