cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,127
Wizara ya Elimu iliweka miongozo na sheria ktk shule zote nchini, Km bango linavyo someka hapo.
Hii sheria niliyoweka vidoti, mbona sijawahi ona ikifanyiwa kazi, hata pale inapoonekana wazi na uthibitisho usio na shaka, hasa hiyo Ushoga na Usagaji.
Mara nyingi suala linamalizwa kimya kimya, aidha muhusika/wahusika watahamishwa shule na sio kufukuzwa.
Kuna haja gani ya kuiweka hapo ikiwa haifanyi kazi?
KULIKONI?
Hii sheria niliyoweka vidoti, mbona sijawahi ona ikifanyiwa kazi, hata pale inapoonekana wazi na uthibitisho usio na shaka, hasa hiyo Ushoga na Usagaji.
Mara nyingi suala linamalizwa kimya kimya, aidha muhusika/wahusika watahamishwa shule na sio kufukuzwa.
Kuna haja gani ya kuiweka hapo ikiwa haifanyi kazi?
KULIKONI?