Kwanini hii Sheria ya shule huwa haifanyiwi kazi au haitimizwi?

Kwanini hii Sheria ya shule huwa haifanyiwi kazi au haitimizwi?

cocastic

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2019
Posts
112,102
Reaction score
181,127
Wizara ya Elimu iliweka miongozo na sheria ktk shule zote nchini, Km bango linavyo someka hapo.

Hii sheria niliyoweka vidoti, mbona sijawahi ona ikifanyiwa kazi, hata pale inapoonekana wazi na uthibitisho usio na shaka, hasa hiyo Ushoga na Usagaji.

Mara nyingi suala linamalizwa kimya kimya, aidha muhusika/wahusika watahamishwa shule na sio kufukuzwa.

Kuna haja gani ya kuiweka hapo ikiwa haifanyi kazi?
KULIKONI?

1773088965059~2.jpg
 
Kwenye hii shule ninayomiliki nimeshawafukuza wanafunzi mashoga watano hadi kufika mwaka huu.

Wasagaji huwa siwafukuzi kwa sababu sioni kama kusagana Kuna athari hasi.

Kwenye shule yangu nyeto inafundishwa kama somo muhimu kwani bila nyeto hakutakuwa na jamii imara (nyeto Ina faida kede wa kede).

Nasanzuka!
 
Watoto mashuleni hasa wakifika form 2 hapo wanakua na akshi mbaya sana lazima busara itumike, sema enzi zetu nikiwa o level japo shule boarding boys tupu ila mambo haya ya ushoga hayakuwepo kabisa, mpaka namaliza form 4 kuna case moja tu niliwahi iskia ya madogo ya form 1 walikutwa wanafanya upuuzi tena wakaishia tu kuchapwa na wanafunzi wa vidato vya juu hata ofisini haikufika, kiufupi miaka hio 2000 mwishoni hii haikua ishu sana


Nachokumbuka washenzi walikua wanatuwekea sana mafuta ya taa kwenye misosi kuna kipindi walizidisha mpaka kila mtu akajua, ila kipindi iko kulikua na school bash karibu kila mwezi mnaletewa wasichana wa shule za jinsia moja mziki unapiga asubuhi mpaka jioni hakuna cha waalimu wala nini, watu watashikana shikana huko mpaka kieleweke,sema hakuna sex hata, wasichana ndo nilikua naskia nyege zikizidi mashuleni wanakua na ugonjwa wa chekelea[wajuzi mje mnieleweshe sikuwahi kuelewa hata]... dawa yake ndo watapelekwa shule za boys washikwe shikwe siku nzima kwenye school bash wapunguze munkari


Advance mpaka namaliza sikuwahi hata kuona dalili za ushoga shuleni, hata tetesi tu hakuna, chuo napo hivohivo mambo ya ushoga sikuwahi kuskia hata japo wasichana chuo kwa kusagana niliwavulia kofia....
 
Wizara ya Elimu iliweka miongozo na sheria ktk shule zote nchini, Km bango linavyo someka hapo.

Hii sheria niliyoweka vidoti, mbona sijawahi ona ikifanyiwa kazi, hata pale inapoonekana wazi na uthibitisho usio na shaka, hasa hiyo Ushoga na Usagaji.

Mara nyingi suala linamalizwa kimya kimya, aidha muhusika/wahusika watahamishwa shule na sio kufukuzwa.

Kuna haja gani ya kuiweka hapo ikiwa haifanyi kazi?
KULIKONI?

View attachment 3555723
Hiyo sheria ingekuwa inafuatwa kama ilivyo nna uhakika usingemaliza form 6.
 
Kwenye hii shule ninayomiliki nimeshawafukuza wanafunzi mashoga watano hadi kufika mwaka huu.

Wasagaji huwa siwafukuzi kwa sababu sioni kama kusagana Kuna athari hasi.

Kwenye shule yangu nyeto inafundishwa kama somo muhimu kwani bila nyeto hakutakuwa na jamii imara (nyeto Ina faida kede wa kede).

Nasanzuka!
Hv kweli polisi na dcea wakiona haya mawazo kwa nini wasiendelee kuzuia bangi wakati huu mjani hauna shida?
Acha kuuharibia sifa huu mjani kiwiti
 
Back
Top Bottom