kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,462
- 6,743
Kama za madrasaAkili zako ziko nyuma
Kama za madrasaAkili zako ziko nyuma
Unamsema bi kizimkazimsimlaumu form four failure, jilaumuni nyinyi kwa kumsikiliza kilaza!
Tumia japo kasehemu ka ubongo wako kalikosalia bila kubunguliwa na malaria! Unaachaje kumuua chawa aliye maungoni mwako unakwenda kumuua aliyepo kwa mwingine?Kwanini CHADEMA hawapingi vita Mashariki ya kati ili mafuta yashuke bei?
Katika statement zao, sijaona wala kusikia angalau kuilamu USA kuivamia Iran.
Wao wanamlaumu Rais wa Tanzania tu badala angalau kutoa statement 1 ya kulaumu nchi zilizosababisha haya mambo
Huyo kibwengo ubongo wake umechanganyika na haja kubwaTumia japo kasehemu ka ubongo wako kalikosalia bila kubunguliwa na malaria! Unaachaje kumuua chawa aliye maungoni mwako unakwenda kumuua aliyepo kwa mwingine?
Ya waarabu watajua wenyewe hayatuhusu.
Za Sunday schoolKama za madrasa
Malaria Sugu huna akiliZa Sunday school
Ibadaa njema inaanzia nyumbaniKwanini CHADEMA hawapingi vita Mashariki ya kati ili mafuta yashuke bei?
Katika statement zao, sijaona wala kusikia angalau kuilamu USA kuivamia Iran.
Wao wanamlaumu Rais wa Tanzania tu badala angalau kutoa statement 1 ya kulaumu nchi zilizosababisha haya mambo
Kajamaa kakishiba mchemsho wa nguruwe na magimbi lazima Kate kucheua humuKatunze Misaafu mzee ... Maana umeanza kuwa mbea mbea.
inamankuswekeAkili zako ziko nyuma
Sasa si uende ukapigane jihad babuZa Sunday school
Wapi ipo?Sasa si uende ukapigane jihad babu
Si ulisema unajiondoa Jf mbona kigeugeu ?Kwanini CHADEMA hawapingi vita Mashariki ya kati ili mafuta yashuke bei?
Katika statement zao, sijaona wala kusikia angalau kuilamu USA kuivamia Iran.
Wao wanamlaumu Rais wa Tanzania tu badala angalau kutoa statement 1 ya kulaumu nchi zilizosababisha haya mambo