Kwanini haya yanatokea kwenye mapenzi?

Kwanini haya yanatokea kwenye mapenzi?

Naomba Mungu nisije kuwa na moyo kama wa huyo Dada. Hadi nimemuonea huruma.

Mimi haijalishi nakupenda sana, au laah.(kwanza siku hizi huwa sipendi zaidi ya kupretend).

Nikikutumia msg nasubiri ujibu ndiyo nitume nyingine, usipojibu ndiyo kwisha habari mpaka siku utakapoamua kujibu.
Sms kwa sms,call kwa call by I.M
 
Kama humpendi angalau basi usimuumize,tafuta peaceful way ya kukueleza

Otherwise jifunze kumpenda
Nimejitaid kumpenda lakini najiona najidanganya tu... Toka mwaka najitaid kumwacha wala haachiki... Analia adi namwonea huruma
 
Naomba Mungu nisije kuwa na moyo kama wa huyo Dada. Hadi nimemuonea huruma.

Mimi haijalishi nakupenda sana, au laah.(kwanza siku hizi huwa sipendi zaidi ya kupretend).

Nikikutumia msg nasubiri ujibu ndiyo nitume nyingine, usipojibu ndiyo kwisha habari mpaka siku utakapoamua kujibu.
Dah, hongera yako ata mimi nina tabia hiyo hiyo.

huyu wakwangu nisipomjibu mbili au tatu ana piga, akiona sipokei anatafuta marafk zangu, ikishindikana ananitafuta kwa miguu
 
Yaani kuna watu tunahangaika kupendwa, na wengine wanachezea kupendwa
 
Naomba Mungu nisije kuwa na moyo kama wa huyo Dada. Hadi nimemuonea huruma.

Mimi haijalishi nakupenda sana, au laah.(kwanza siku hizi huwa sipendi zaidi ya kupretend).

Nikikutumia msg nasubiri ujibu ndiyo nitume nyingine, usipojibu ndiyo kwisha habari mpaka siku utakapoamua kujibu.
That's what we do!

Habari za kubembeleza mwanaume ifike muda iwe history
 
Dah, hongera yako ata mimi nina tabia hiyo hiyo.

huyu wakwangu nisipomjibu mbili au tatu ana piga, akiona sipokei anatafuta marafk zangu, ikishindikana ananitafuta kwa miguu
Inabidi lakini umwambie ukweli lakini. Kama amekufanyia mambo makubwa inaonyesha mwanzo ulikuwa unaigiza kumpenda shida zimeisha unampotezea.

Halafu wewe wewe utakuta unashangaa mwanamke anasomeshwa halafu anamkataa mwanaume aliyemsomesha.
 
Ananipenda sana, ila sina hisia nae hata kidogo...

Hana kasoro yoyote, ana sifa zote kuitwa mke, lakini mimi simpendi...

Hajawai nikosea, kila siku mimi ndio namkosea lakini haniachi..

Ananipenda sana, muda mwingi anazungumza kuhusu ndoa, anawapenda na wazazi wangu pia

Sijui kwanini mimi simpendi, yani namtamani tu pale napokuwa N.y,ege..

Kwa mambo makubwa alionifanyia naogopa kumwambia simpendi.. Nahis anaweza ata kuniua

DAH,
View attachment 1135849View attachment 1135850View attachment 1135851


Daaahhh haya matext yanaumiza sanaaaa


Huyu atakua amemaliza form six au yuupo chuo
 
Inabidi lakini umwambie ukweli lakini. Kama amekufanyia mambo makubwa inaonyesha mwanzo ulikuwa unaigiza kumpenda shida zimeisha unampotezea.

Halafu wewe wewe utakuta unashangaa mwanamke anasomeshwa halafu anamkataa mwanaume aliyemsomesha.
Mimi nilivyoanza kumtongoza ilikuwa utani utani tu, sikudhani kama ataniganda hivyo, kiufupi nilimtani tu,
 
Naomba Mungu nisije kuwa na moyo kama wa huyo Dada. Hadi nimemuonea huruma.

Mimi haijalishi nakupenda sana, au laah.(kwanza siku hizi huwa sipendi zaidi ya kupretend).

Nikikutumia msg nasubiri ujibu ndiyo nitume nyingine, usipojibu ndiyo kwisha habari mpaka siku utakapoamua kujibu.
Aisee mimi sijui nikoje yaani mwanamke akijidai ananipenda sana ndo ANAANZA KUNITIBUA, huyo lazima tutaachana na kosa lake ni kunipenda.
Sana sana ntaona mapicha tu ananiigizia.
Kwanza hua naamini "real love never exist"

Sihitaji mwanamke kunipenda, nahitaji mwanamke aniheshimu behind my back hapo tutaenda sawa.
 
Oa haraka sana hapo mdau.....utakuja mpenda ndani ya ndoA
Ananipenda sana, ila sina hisia nae hata kidogo...

Hana kasoro yoyote, ana sifa zote kuitwa mke, lakini mimi simpendi...

Hajawai nikosea, kila siku mimi ndio namkosea lakini haniachi..

Ananipenda sana, muda mwingi anazungumza kuhusu ndoa, anawapenda na wazazi wangu pia

Sijui kwanini mimi simpendi, yani namtamani tu pale napokuwa N.y,ege..

Kwa mambo makubwa alionifanyia naogopa kumwambia simpendi.. Nahis anaweza ata kuniua

DAH,
View attachment 1135849View attachment 1135850View attachment 1135851
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom