Kwanini haya yanatokea kwenye mapenzi?

Kwanini haya yanatokea kwenye mapenzi?

Naomba Mungu nisije kuwa na moyo kama wa huyo Dada. Hadi nimemuonea huruma.

Mimi haijalishi nakupenda sana, au laah.(kwanza siku hizi huwa sipendi zaidi ya kupretend).

Nikikutumia msg nasubiri ujibu ndiyo nitume nyingine, usipojibu ndiyo kwisha habari mpaka siku utakapoamua kujibu.

Hahahaha, cute b omba usikutwe na huyu bwana pepsi
 
Aisee mimi sijui nikoje yaani mwanamke akijidai ananipenda sana ndo ANAANZA KUNITIBUA, huyo lazima tutaachana na kosa lake ni kunipenda.
Sana sana ntaona mapicha tu ananiigizia.
Kwanza hua naamini "real love never exist"

Sihitaji mwanamke kunipenda, nahitaji mwanamke aniheshimu behind my back hapo tutaenda sawa.
Lakini wengine huwa hawaigizi.
Sema ujue nini tatizo watu hawajui namna ya kumsoma mtu na kujiongeza. Ukishaona mtu unaonyesha mahaba yote halafu wala hashtuki unatakiwa uache Mara moja.

Hapo kwenye mapenzi ya kweli hayapo I second you!!. Movie zinatuponza.
 
Mapenzi ni kama ukichaa iv yaani hapo anakupenda humpendi ila siku zinakuja utampenda na yeye anakua hakupendi yaaan ni full uchizi chizi tu!
 
Kama humpendi angalau basi usimuumize,tafuta peaceful way ya kukueleza

Otherwise jifunze kumpenda
Hakuna kitu kibaya kama kumpa mtu nafasi ya kijifunza kukupenda. Ipo siku atarudia ujinga wake wa awali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom