Kwanini hatupendi kuwaomba ushauri watu masikini?

Kwanini hatupendi kuwaomba ushauri watu masikini?

Mfano wa mganga ndio umeona uko relevant na hii mada?
Hata Mitume na Manabii......Wanakwambia Omba sana Mungu atakutatulia tatizo lako la Uchumi. Lakini Yeye hawambii Waumini waombe wapate pesa za kujenga kanisa bali anataka achangiwe hadi pesa za yeye kula na familia yake. Kwanini yeye asiombe Kwa Mungu?
 
Labda ni huko ulikokulia. Mimi nimekulia kijijini na katika watu waliokuwa wanafuatwa kwa ushauri ni mama mmoja aliyekuwa anaishi kwenye kibanda cha nyasi. Ni kesi gani ingefanyika bila yeye kuombwa kwenda kusikiliza na kutoa ushauri? Ni mama mmoja alikuwa na busara mno. Kwa uapnde mwingine alikuwepo baba mmoja alikuwa tajiri lakini watu walikuwa wanamwita jina la utani wa''lijinga'' (kwa kilugha lakini). Napingana kabisa na hii dhana yako.
Kama ni kweli tunaomba ushauri kwao, kwa nini omba omba bado wapo?
 
Wanapata ajali na matajiri hawapati ajali
Wanastress na matajiri hawana
Wanakufa na matajiri hawafi
 
Ila kwa waganga wa kienyeji mnaenda

Unakuta kijana kaendelea kimaisha ila wazazi wake ni masikini, lakini hawaulizi ushauri bali ataenda kwa mganga choka mbaya
 
Hata Mitume na Manabii......Wanakwambia Omba sana Mungu atakutatulia tatizo lako la Uchumi. Lakini Yeye hawambii Waumini waombe wapate pesa za kujenga kanisa bali anataka achangiwe hadi pesa za yeye kula na familia yake. Kwanini yeye asiombe Kwa Mungu?
Hivi unaelewa kuwa mifano unayotoa ni irrelevant na hii mada?

Back to the topic, unaposema maskini hafai kutoa ushauri, unamaanisha kwamba hali ya kiuchumi ya mtu ndiyo kipimo cha uwezo wa kiakili na maadili?
 
Katika ukuaji wangu huu sijawahi kuona mtu yeyote yule akienda kuomba ushauri kwa maiskini.

Sababu kuu itakuwa ni nini?​
  • Tunawadharau,​
  • Hawana mawazo,​
  • Hawana dira,​
  • Ubongo wao haufanyi kazi au​
  • Sababu inaweza kuwa ipi?​
Siyo wote ila waliowengi wanatamani UPOROMOKE uwe chini zaidi yao hasa wakiwa ni ndugu zako.
 
Hivi unaelewa kuwa mifano unayotoa ni irrelevant na hii mada?

Back to the topic, unaposema maskini hafai kutoa ushauri, unamaanisha kwamba hali ya kiuchumi ya mtu ndiyo kipimo cha uwezo wa kiakili na maadili?
Okay.....sijajibu mada bali maswali yako.

Maskini akikupa ushauri anatofauti gani na Inspiration Speaker ambaye anakupa mbinu ambazo yeye hazijamsaidia?
 
Huwezi kushauriwa kitu na mtu aliyeshindwa kufanya hicho kitu hata kama mawazo yake ni mazuri..in short unatakiwa kutajirika kwanza ndo utoe ushauri
Na wewe unakubaliana na hoja ya kutokusikiliza ushauri wa masikini?
 
Back
Top Bottom