kijana wa leo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 3,072
- 7,514
Kabisa Mkuu.....masikini tushauriane wenyewe na matajiri wshauriane wenyewe....Na wewe unakubaliana na hoja ya kutokusikiliza ushauri wa masikini?
Kabisa Mkuu.....masikini tushauriane wenyewe na matajiri wshauriane wenyewe....Na wewe unakubaliana na hoja ya kutokusikiliza ushauri wa masikini?
Ita epushe migonganoKabisa Mkuu.....masikini tushauriane wenyewe na matajiri wshauriane wenyewe....
Wasomi watatusaidia kubadilisha mfumoBadilisha mfumo mbovu wa uongozi na sera zisizowajibika zinazowazuia maskini kupata fursa za kweli za kubadilisha maisha yao.
Tatizo la maskini unakuwa failure kwa kila kitu.... Kuanzia uchumi,fikra,mamlaka etc ni ngumu kupata mtu anayetaka ushauri wako....... Ambao wewe maskini umeshindwa kukusaidiaUtamfuata kwa ushauri upi?
Kama wasomi ndiyo suluhisho, mbona wengi wao wakishapata nafasi serikalini huwa sehemu ya matatizo badala ya suluhisho?Wasomi watatusaidia kubadilisha mfumo
Wengi tukiwa nje ya mfumo kelele ni nyingi, tukiingia na sisi tunakuwa ni walewale; tatizo litakuwa ni nini?Kama wasomi ndiyo suluhisho, mbona wengi wao wakishapata nafasi serikalini huwa sehemu ya matatizo badala ya suluhisho?
Unaniulizaje swali ambalo unatakiwa kulijibu wewe?Wengi tukiwa nje ya mfumo kelele ni nyingi, tukiingia na sisi tunakuwa ni walewale; tatizo litakuwa ni nini?
Ushauri wa maskini ni sawa na Wa.motivesheni spikaKatika ukuaji wangu huu sijawahi kuona mtu yeyote yule akienda kuomba ushauri kwa maiskini.
Sababu kuu itakuwa ni nini?
Tunawadharau, Hawana mawazo, Hawana dira, Ubongo wao haufanyi kazi au Sababu inaweza kuwa ipi?
mimi sina jibu la swali?Unaniulizaje swali ambalo unatakiwa kulijibu wewe?
Nijibu tuone mkuuUnataka kusema nini? au wewe uko kundi gani?
Hilo swali nimekosa jibu kabisaNajaribu kufikiria uhusiano wa masikini na mganga wa kienyeji, je ni lazima mganga wa kienyeji awe masikini?
Mfano, ushauri wa uwekezaji n.kInategemea ni aina ipi ya ushauri unaotaka kuomba.
Ushauri hauangaliii kipato.
Teknolojia imebadilika, kuliko kwenda kuraruliwa ngozi ya mwili, tutaenda kwenye greenhouse kupata upako uliojaa.Hilo swali nimekosa jibu kabisa
Lakini gumu zaidi inakuwaje Wasomi na viongozi pia wanaenda kwa mganga Asiekuwa na elimu ?
Huwa wanajionaje wanapoambiwa njoo nikuchanje chale anainama daa
Kweli Mungu anagawa riziki bila hesabu
Mtu analala kwenye nyumba ya nyasi anatembelewa na V8 😂😂
Ina maana na huko ni waganga waliochangamka ama 😂😂Teknolojia imebadilika, kuliko kwenda kuraruliwa ngozi ya mwili, tutaenda kwenye greenhouse kupata upako uliojaa.
Ina maana na huko ni waganga waliochangamka ama 😂😂
Naona waganga wa kienyeji watawaroga sasa hawa maana sio kwa utajiri huoWale ni digital witch doctors, hawashiki nyembe, ni neno tu mambo yananyooka.
Naona waganga wa kienyeji watawaroga sasa hawa maana sio kwa utajiri huo
Hivi wakitunishiana misuli ngoma hapo itakuwaje?
Hebu weka ukweli hapa 😜
Sahihi na formula ni simple tu, mwenyenacho anaweza kumpa asiyenacho, lakini asiyenacho hawezi kumpa aliyenacho....Ita epushe migongano