Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
Wanaspoti
Kwanini sisi Tanzania hatuna watangazaji wa kike wa mpira wa miguu?. Tanzania alijitokeza mmoja, Sports Lady Halima Mchuka, leo ni kumbukumbu ya miaka 10 toka alipofariki, kwanini mpaka leo hujawahi kupata mrithi?.
Tujikumbushe enzi zake
Video kwa hisani ya Aboubakar Liongo.
Soma pia
na hapa hapa ni siku ya kifo chake, tarehe kama ya leo, miaka 10 iliyopita
Kwanini sisi Tanzania hatuna watangazaji wa kike wa mpira wa miguu?. Tanzania alijitokeza mmoja, Sports Lady Halima Mchuka, leo ni kumbukumbu ya miaka 10 toka alipofariki, kwanini mpaka leo hujawahi kupata mrithi?.
Tujikumbushe enzi zake
Video kwa hisani ya Aboubakar Liongo.
Soma pia
Tribute to Halima Mchuka: Miaka 10 Baada ya Kifo Chake, Her Legacy Still Lives On!, Bado Ndiye "The One and Only" Mtangazaji wa Kike wa Mpira Bongo!.
Wanabodi, Leo ni kumbukumbu ya miaka 10 ya kifo cha mtangazaji huyu mwanamke wa RTD baadaye TBC, Halima Mchuka, aliyefariki siku kama ya leo, miaka 10 iliyopita. Huyu ndiye Mtangazaji mwanamke wa kwanza wa RTD kutangaza mpira redioni , enzi hizo RTD sasa TBC, na mpaka leo ni miaka 10 baada ya...
www.jamiiforums.com
na hapa hapa ni siku ya kifo chake, tarehe kama ya leo, miaka 10 iliyopita