nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,860
- 5,803
Kwa mda mrefu sasa wabunge wa CHADEMA wamekuwa wakiendesha harakati za kupinga mwenge wa uhuru.
Najiuliza chadema wanachukia mwenge wa uhuru au wanachukia shughuri zinazofanywa na mbio za mwenge, Pengine wanadhani mwenge usipopita wao watazidi kuungwa mkono kwenye maeneo mengi.
Lakini imani yangu ni kuwa chadema wanapingana na maendeleo yanayozinduliwa na kufunguliwa wakati wa mbio za mwenge kwani wao ni wapinga maendeleo ili serikali ionekane haijafanya kitu,hizi siyo siasa bali ni kupotoka kwani siyo busara kupinga kila kitu.
Mwenge unapokimbizwa UNALETA MAENDELEO? Au Matumizi ya MALIGHAFI ovyo...
Unaongelea CHADEMA pekee? Uliwauliza CUF kama wanaupenda huo MWENGE? Au Wana CCM wa PEMBA wanaupenda huo MWENGE?
Yaani toka MWENGE uanze kukimbizwa ni MAENDELEO gani huo MWENGE umeyaleta??? Zaidi ya Wanafunzi kuondolewa Madarasani; kununuliana Sare kiufisadi badala ya kuimarisha Matakwa ya Wananchi...