Mkuu umepinga nini na umekubari nini,sioni kama kuna gharama zozote za kuendesha mwenge ukilinganisha na faida zinazopatikana.
Hapo penye wekindu:gharama ni kubwa kuagiza dawa za kutibu waathirika wa UKIMWI ni kubwa sana ukitilia maanani kuwa wafadhili wamejito kusaidia ktk hili baada ya kugundua wagonjwa hawanufaiki bali mafisadi.ktk bluu funguka zaidi juu ya faida hizo!