Kwanini CHADEMA wanauchukia Mwenge wa Uhuru?

Kwanini CHADEMA wanauchukia Mwenge wa Uhuru?

SAMAHANI, mwenge wa uhuru hauna maendeleo yoyote unayoyaleta, bali unakimbizwa kuzindua miradi na kudumisha amani ya nchi, lakini hili amani ya nchi ni idealist sana kwa walioanzisha. gharama za kuukimbiza mwange wa uhuru ndo zinafanya chadema wapinge, leo hii tunakimbiza mwenge kuzindua miradi ya watu binafsi kama shule na vituo vya kulelea watoto, pia miradi ya serikali ambayo tunaweza kumuita mkuu wa wilaya au mkoa akaja kuzindua then gharama za kuja mwenge zikaenda hata kwenye mpango wa big results kusaidia elimu inayoshuka ubora kila siku, fikiri chanya juu ya mwenge wa uhuru na ulinganishe na uchumi wetu ulivyo, je tunastahili kugharamia mbizo za mwenge ambazo zina madhara hasi kwa jamii hasa mwenge unapo lala?
 
Japo sina uhakika na matumizi yako ya neno chuki,
Naomba utuambie, kwa nini wewe unautamani?
 
rais mpya

Mimi tatizo langu ni hili tu!
attachment.php

View attachment 109835
 
Mkuu, miradi mingi inayozinduliwa kupitia mwenge wa uhuru ni pigo kwa chadema. hii inadhihirisha kuwa CHADEMA hawana dhamira njema kwa nchi hii

kama ile guest house iliyozinduliwa juzi na Kiongozi wa mbio za Mwenge ni pigo Kali sana kwa CHADEMA
 
Hivi nani huwa anakagua mapato na matumizi ya shughuli za mwenge? Ni huyu huyu CAG tuliyenaye au masuala ya Mwenge ni off limit kwake?
 
Kweli wewe ni rais mpya!
Mwanzoni nilidhani ni Rais mpya....
 
Bora hata ungekuwa wanadakia kumbikumbi tungenufaika na lishe!Kuliko hivi sasa maana ni majanga tu, Kila ulipolala mwenge asubuhi yake watu wanaogopa kupita wakiwa wameongozana na wakwe zao maana lazima ujiandae kukutana na mipira ya kikubwa iliyotumika na utajiju za kila size yani ni vituko.Naona kwa sasa labda unakazi ya kupita kuwamulikia watu wapate mahawara wapya hatimaye virusi vipya
 
mwenge kama sehemu nyingine unavyofahamika kama "TORCH" unahusishwa sana na imani za kiiluminati, wajenzi huru (Freemasony). Wale wanaoamini dini za kishetani (satanists) wanaamini kuuwasha mwenge ni alama ya kumtukuza "LUCIFER". Mfano USA na ile statue of liberty .

American-Goddess.jpg
 
mbio za mwenge wa uhuru ni muhimu kwa taifa. miradi mingi ya maendeleo huzinduliwa na watu hujumuika na kufurahishwa na ngoma za kitamaduni. mbali na miradi ya maendeleo, mwenge unakuza utamaduni hapa nchini


Huo mwenge ni kabila gani na dini gani? Mwenge unatembea au unatembezwa? Tangu lini kitu kisicho na uhai kikafungua miradi? Nchi zisizo na mwenge hazina maendeleo. Acha upumbavu kwanza tunachokishuhudia maeneo ambayo mwenge unakesha ni kondomu zilizotumika kutapakaa.

Lengo la mwenge ni pamoja na kudumisha amani ambayo sasa HAIPO,kukomesha rushwa ambayo kwa sasa IMEKOMAA MPAKA IKULU NA SASA HATA BIASHARA YA MADAWA YA KULEVYA YANALINDWA NA IKULU, UFISADI NDO USISEME NA MADUDU MENGI MENGI TU YA AIBU. Sasa mwenge wa
nini? Ccm ya nini? Mafisadi wa nini?

Ccm imeshindwa
Mwenge umeshindwa
Serikali imeshindwa
Polisi nayo hivo hivo
WAPIGWE TU NAE KACHOKA.

Tunataka chama kipya chenye FIKRA MPYA
 
Kwa mda mrefu sasa wabunge wa Chadema wamekuwa wakiendesha harakati za kupinga mwenge wa uhuru.

Najiuliza chadema wanachukia mwenge wa uhuru au wanachukia shughuri zinazofanywa na mbio za mwenge, Pengine wanadhani mwenge usipopita wao watazidi kuungwa mkono kwenye maeneo mengi.

Lakini imani yangu ni kuwa chadema wanapingana na maendeleo yanayozinduliwa na kufunguliwa wakati wa mbio za mwenge kwani wao ni wapinga maendeleo ili serikali ionekane haijafanya kitu,hizi siyo siasa bali ni kupotoka kwani siyo busara kupinga kila kitu.


Mwenge uko kwa manufaa ya kichama na sio serikali.Hiki ni kichaka kikubwa sana cha ufisadi na fedha hizi nyingi zinakwenda kuhudumia chama.Fedha za mwenge huwa zinatengewa budget, na wakati huohuo wakuu wa mikoa na wilaya huwa wanatembeza mabakuli kwenye ofisi na taasisi za watu binafsi na mashirika.Huwa wanakusanya fedha nyingi, na mwisho wake hatuna uhakika kama zinafanya shughuli ipi.Lakini naamini huwa zinaishia kwenye matumbo yao.
Ni wakati sasa wa kuupiga chini,vinginevo kama wanataka uendelee,usikimbizwe na makada wa chama pekee,bali vyama vyote vishirikishwe kwenye kamati za mbioza mwenge.

Huu ni ufisadi mkubwa sana.
 
Nikiwa sekondar tulistisha masomo kwa mwez mzima tukifanya maandalz ya uzinduz wa nyumba ya mwalimu shulen uliofanywa na mwenge.

Wazaz wetu walichangishwa sh 500 kila mmoja kwa ajil ya mwenge.

Kwa mwez mzima tulilima, tulifyeka, tulipanda maua na migomba barabaran, tulisomba mawe kutoka porin kwa ajil ya kupanga barabaran ,tulipaka chokaa mawe na kujifunza nyimbo za kuimbia mwenge.

Cha ajabu pamoja na bugudha yote hiyo mwenge ulikaa shulen kwa dakika 10.
 
Hata amri kumi za Mwnyezi Mungu, zinasema ucjfanyie sana za kuchonga. Limwenge ni bonge la ngusanamu ambago watanzania wana ngusujia kwa kodi za walala hoi.
 
Hujui kitu. Kuzindua mradi hadi mwenge? Ina maana mwenge ukizimwa huwa hakuna miradi? Hivi wajua mwenge ukiwashwa hadi kuzimwa unatumia sh. ngapi ukimbizwa mikoa yote au ni wachache kupata posho.?

mkuu unatoa ajira kwa greenguard
 
Kwa mda mrefu sasa wabunge wa Chadema wamekuwa wakiendesha harakati za kupinga mwenge wa uhuru.

Najiuliza chadema wanachukia mwenge wa uhuru au wanachukia shughuri zinazofanywa na mbio za mwenge, Pengine wanadhani mwenge usipopita wao watazidi kuungwa mkono kwenye maeneo mengi.

Lakini imani yangu ni kuwa chadema wanapingana na maendeleo yanayozinduliwa na kufunguliwa wakati wa mbio za mwenge kwani wao ni wapinga maendeleo ili serikali ionekane haijafanya kitu,hizi siyo siasa bali ni kupotoka kwani siyo busara kupinga kila kitu.

Tuwekee faida za kukimbiza Mwenge wa Uhuru katika Tanzania ya leo na sio Tanzania iliyokuwa ya kufukuza mkoloni na hathari zote zilizotokana na ukoloni mkongwe. Hapo ukiweka faida tena in numbers and not in utopia basi tutaona kuana faida la hakuna hasara na CDM uliwaweka kapu moja watakosolewa. Lakini kinyume chake tutaona kuwa wewe shida yako ni CDM na sio Mwenge maana CDM wametoa sababu zao in quantity and quality na kuona haina haja ya kukimbiza Mwenge na hawajesema hawautaki Mwenge maana mwenge upo. Wanasema ni vema uwekwe makumbusho na ubaki kama moja ya vitu vilivyokuwa vinahamasisha kuondoa ukoloni na makovu yake
 
Mwenge wa uhuru signifies our independence.
Wale walio kinyume na uhuru lazima wauchukie. Kwanza hata wakiuchukia wanq uwezo wa kuufuta???
Ni chawa wachache sana hawa kweny blanket kuuuubwa liitwalo tanzania. Wasikunyime usingizi
 
[QUOTE=Wewe naona umekurupuka. Kwani umeambiwa mwenge unapeleka fedha za miradi? Mbio za mwenge hutumika kuzindua miradi iliyotekelezwa kupitia vyanzo mbalimbali vya mapato
KWANI MRADI USINGEANZISHWA NA WATU MWENGE UNGEPATA CHA KUZINDUA? MAJANGA TU.
 
Back
Top Bottom