Kwanini CHADEMA wanauchukia Mwenge wa Uhuru?

Kwanini CHADEMA wanauchukia Mwenge wa Uhuru?

Wana jF
Inawezekana huwa tunajitosa kwenye mambo ambayo hatuyajui na huwa hatufanyi utafiti. Kuhusiana na Mwenge nimekuta ushauri wa Busara wa mzee wetu, mzee Kasori, aliyekuwa PrivatecSecretary yaani Katibu Myeka wa Rais Wa kwanza wa JMT ambaye ndiye mwanzilishi wa Mbio za Mwenge. Ninanukuu

Comrade G.H.Mkuchika, Pole kwa yote ysliyojiri Bungeni Ijumaa 30August,2013 kuhusu Mbioza Mwenge Tz. Nakumbuka hata Mwl. J.K. Nyerere kabla hajafariki alikwisha shauri kuwa Ratiba ya Mbio za Mwenge itazamwe upya kwamba ukimbizwe kila baada ya muda fulani au matukio maalum!Bila kumung'unya maneno alionya juu ya gharama na Serikali kutofanya tathmini ya miradi inayozinduliwa na kwamba baadhi ni magofu yaliyotelekezwa tangu akiwa Rais. Kwamba nidhamu katika siku za mkesha wa Mwenge imeanza kutia shaka. Hapo alikuwa na maana ya ulevi na ngoni.Comred Mkuchika huo ndio ukweli tu. Umuhimu wa Mwenge km ulivyosema kwa usahihi mkubwa upo pale pale. Tatizo ni management na Financing ya Mbio hizo na ubora na ufuatiliaji wa miradi kulingana na thamani ya fedha na jinsi gani Serikali pia inavyofuatilia kila kauli mbiu husika kwa mwaka au miaka iliyopita. comrade huo ndio ushauri wangu bila kuathiri angalizo la Mwl. J.K.Nyerere. Namaliza kwa kusema kuwa, pale ambapo tumepuuza ushauri wa kizalendo wa J.K.Nyerere Taifa letu Tanzania sasa tunaogelea katika matatizo lukuki tu. as ante Comrade. Kasori S.H., Arusha. Copy Mhe. Rais,Jakaya M.Kikwete" (tel.0716 267 879). Ni vema tukafanya utafiti wa mambo, badala ya Ushabiki ambao madhara yake ni makubwa kwa Taifa. Tutetee mambo si kwa ushabiki Bali kwa mantiki yake, kwa umuhimu wake, na tukubali kukosolewa pale ambapo historia inaonyesha dhahiri tumetokq nje ya malengo ya msingi.
Um

Faida za hayoi niliyoyawakilisha hazina value in terms of money, na sishabikii ili kukamilisha ratiba ya ushabiki kwa chama cha ccm, bali kuona umuhimu wa kuwepo kwa mwenge wa uhuru katika taifa letu, kiwango cha thamani kimepunguzwa na uzalendo wetu binafsi, nazungumza hayo nikijaribu kufananisha na mataifa mengine yasivyoacha kutumia gharama katika kuzimamia core value za taifa lao, marekani ni taif aambalo limeundwa kwa misingi ya kidemeokrasia na inatumia gharama kubwa sana kuona nchi nyingine za dunia zikisimama katika demokrasia wanayoiamini, tukiachia mbali dhana ya kusimamia national interest ambazo wengi tunaweza kusema kua wanafanya hayo kutokana interest zao, hivyo basi kuna kila sababu ya kuendelea kuprserve our core national values at any cost, hiyo itatujenga kama taifa kuona kwamba kuna gharama kwa kila tunalo amini, tukiacha sasa, vizazi vyetu vijavyo vitatuona kama wazembe na wabinafsi, mwenge wa uhuru ukipotea sasa, tutakosa urithi bora kwa vizazi vyetu
 
Wana jF
Inawezekana huwa tunajitosa kwenye mambo ambayo hatuyajui na huwa hatufanyi utafiti. Kuhusiana na Mwenge nimekuta ushauri wa Busara wa mzee wetu, mzee Kasori, aliyekuwa PrivatecSecretary yaani Katibu Myeka wa Rais Wa kwanza wa JMT ambaye ndiye mwanzilishi wa Mbio za Mwenge. Ninanukuu

Comrade G.H.Mkuchika, Pole kwa yote ysliyojiri Bungeni Ijumaa 30August,2013 kuhusu Mbioza Mwenge Tz. Nakumbuka hata Mwl. J.K. Nyerere kabla hajafariki alikwisha shauri kuwa Ratiba ya Mbio za Mwenge itazamwe upya kwamba ukimbizwe kila baada ya muda fulani au matukio maalum!Bila kumung'unya maneno alionya juu ya gharama na Serikali kutofanya tathmini ya miradi inayozinduliwa na kwamba baadhi ni magofu yaliyotelekezwa tangu akiwa Rais. Kwamba nidhamu katika siku za mkesha wa Mwenge imeanza kutia shaka. Hapo alikuwa na maana ya ulevi na ngoni.Comred Mkuchika huo ndio ukweli tu. Umuhimu wa Mwenge km ulivyosema kwa usahihi mkubwa upo pale pale. Tatizo ni management na Financing ya Mbio hizo na ubora na ufuatiliaji wa miradi kulingana na thamani ya fedha na jinsi gani Serikali pia inavyofuatilia kila kauli mbiu husika kwa mwaka au miaka iliyopita. comrade huo ndio ushauri wangu bila kuathiri angalizo la Mwl. J.K.Nyerere. Namaliza kwa kusema kuwa, pale ambapo tumepuuza ushauri wa kizalendo wa J.K.Nyerere Taifa letu Tanzania sasa tunaogelea katika matatizo lukuki tu. as ante Comrade. Kasori S.H., Arusha. Copy Mhe. Rais,Jakaya M.Kikwete" (tel.0716 267 879). Ni vema tukafanya utafiti wa mambo, badala ya Ushabiki ambao madhara yake ni makubwa kwa Taifa. Tutetee mambo si kwa ushabiki Bali kwa mantiki yake, kwa umuhimu wake, na tukubali kukosolewa pale ambapo historia inaonyesha dhahiri tumetokq nje ya malengo ya msingi.
Um

nikushukuru kwa angalizo lako, ila ningependa kukufahamisha kua sisgabikii ili kutimiza wajibu wa kushabikia chama cha ccm na serikali yake, bali nafanya hivyo kwa manufaa ninayoyaona kwa mwenge huu wa uhuru. Mwenge wa uhuru is one among the core of our national values na kwa kipimo chake hauna kiwango cha gharama kuufidia, manufaa yake labda hatuyaoni kwa kupungukiwa uzalendo, ila tungeyaona kama tungerudisha uzalendo tuliokuwa nao miaka ile sasa, labda tumepumbazwa sana na umimi kuliko falsafa za undugu na kushirikiana ambazo, tumekuzwa nazo na ni misingi ya taifa hili. Marekani kama taifa la mfano, limekua katika misingi ya kidemokrasia na kwao hawaoni gharama kuisimamia demokrasia ndani na nje ya mipaka yao, sisi kama taifa tunawajibu wa kupreserve misingi yetu ya utaifa kwa faida ya vizazi vijavyo, kuuweka mwenge wa uhuru katika makumbusho kwa visingizio vya gharama ni kujaribu kuwa wazembe na wabinafsi katika mambo muhimu ya taifa hili,sisi kama wananchi tunategema kwamba serikali yoyote itakayokuwa madarakani kuendeleza misingi yetu kama taifa, hivyo ninaona bado kuna umuhimu wa mwenge huu kuendelea kuwepo kwa faida ya sasa na vizazi vya baadae
 
Mi siwaelewi wabongo mambo yenu! hivi kuzindua mradi ni kuuanzisha? au mradi usipozinduliwa hauwezi kufanya kazi kama upo? acheni uhuni nani aliyezindika miradi ya Tanzania kwa kiasi kwamba iliifanye kazi lazima izinduliwe?

mwenge hauna kazi zaidi ya kuchangia kueneza UKIMWI! hivi kijiji au wanakijiji wakichangishana michango wakajenga hospital haiwezi kuanza kazi mpaka mwenge upelekwe pale na kudai eti ndio umezindua mradi huo? wakati wananchi ndio waliolala njaa kwa ajili ya kutoa michango ili hospitali ijengwe?

hata kama wanaokimbiza mwenge wangepita sehemu mbalimbali wakajenga au kuanzisha miradi bado kwangu mimi nitajua kwamba wananchi ndio walioanzisha miradi hiyo kwasababu mwenge hauna mapato yoyote nje ya kutumiwa kuwakamua wanchi.

MWENGE haunachochote labda kama kuna nguvu za giza nyuma ya mwenge huo na zenyewe haziwezi kutusaidia chochote!
 
maradhi kiasi gani yameambukizwa na mbio za mwenge., mimba kibao wanatiana hazina baba, ukafiri tu
 
Back
Top Bottom