mbio za mwenge wa uhuru ni muhimu kwa taifa. miradi mingi ya maendeleo huzinduliwa na watu hujumuika na kufurahishwa na ngoma za kitamaduni. mbali na miradi ya maendeleo, mwenge unakuza utamaduni hapa nchini
Watanzania tunahitaki kukombolewa fikra zetu, yaani kufungua miradi tunahitaji Mwenge! Hakuna viongozi wengine ktk maeneo ya miradi? RCs, DCs, Makatibu Tawala- Wilaya na Mikoa, Wakurugenzi, na Wabunge. Yaani hao sio viongozi!