stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 6,383
- 3,494
He has got his owner weakness but for more than two decade he has shown to posses very important leadership skills including the sense of humor, a comforter, and or with political tolerance.
Wewe unaonajehicho ndo kinawafanya mumwagie sifa?
Just take your time.. Utajua tuumm nauliza tu, labda sielewi amaefanya nn cha ziada izi sku za karibuni, toka amesema anastaafu 2023 kelele zmekua nyingi
Nyie ni kinawafanya mwenyekiti wenu asiwaamini ,MPAKA kuchukua vijana waliopikwa na Chadema chini mwenyekiti Mbowe ili wamsaidie kazi,? Ya Mbowe waachie wanachama wa Chadema,Nawasalimu kwa jina la Lowassa
Hivi karibuni naona vijana wa CHADEMA wanamwagia sifa sana mzee baba Mbowe, naombeni mtuambie ni nini haswa kinachomfanya Mbowe apokee sifa zote hizo wakati kila mtu anajua ni kada mtiifu wa CCM.
Whats so special about him?
ni kwa sababu Mbowe ni EXCEPTIONAL!kwahio hata wewe huujui kwann?
Mbona sababu iko wazi tu; level yao ya uelewa mambo ni chini ya ile ya mboweNawasalimu kwa jina la Lowassa
Hivi karibuni naona vijana wa CHADEMA wanamwagia sifa sana mzee baba Mbowe, naombeni mtuambie ni nini haswa kinachomfanya Mbowe apokee sifa zote hizo wakati kila mtu anajua ni kada mtiifu wa CCM.
Whats so special about him?
Anayemfuta mume wakati wa ndoa ni nani? Mke au mume? Nani analipa mahari?vp, unataka kutuamisha kwamba lowasa alienda pale bure?
Kwa Wana mtaa wakijani na washirika wake wote,kwa sasa wakimwona mbio nyingi karibu na kudondosha mguu mmoja.chuma kwenye nn haswa?