Kwanini CHADEMA wanamwona Mbowe wa kipekee (exceptional)?

Nawasalimu kwa jina la Lowassa

Hivi karibuni naona vijana wa CHADEMA wanamwagia sifa sana mzee baba Mbowe, naombeni mtuambie ni nini haswa kinachomfanya Mbowe apokee sifa zote hizo wakati kila mtu anajua ni kada mtiifu wa CCM.

Whats so special about him?
KWANINI WEWE UMEAMUA KUPOST THREAD KUHUSU MBOWE???🤣🤣🤣😃
 
Nawasalimu kwa jina la Lowassa

Hivi karibuni naona vijana wa CHADEMA wanamwagia sifa sana mzee baba Mbowe, naombeni mtuambie ni nini haswa kinachomfanya Mbowe apokee sifa zote hizo wakati kila mtu anajua ni kada mtiifu wa CCM.

Whats so special about him?
Kwa sababubalishindana na shetani na akashinda
Ila shetani kafa
 
Khaaaaaaaa,Huyo mjuba achana nae.nasikia hata Uvccm wanatamani akawahutubie.

Nijue tu,aliwahi kukufanyia mini baya labda.
 
Kwa sababu ndyo Rais wa nchi. Umewahi kumsikia akimtaja Clatou Chota Chama? Mbowe n mwanasiasa ila hataji wasiohusika na uongoz wa nchi.

hata mm naweza nkamtaja raisi wa nchi kuanzia asubui mpaka jion lakini hainipi sifa yoyote kama ya mbowe. understood? kwahio jibu swali
 
Back
Top Bottom