Yeah wala sijawahi hata kufuatilia ndugu yangu kwakuwa sio kipaumbele kwangukwahio na wewe hujui?
KWANINI WEWE UMEAMUA KUPOST THREAD KUHUSU MBOWE???🤣🤣🤣😃Nawasalimu kwa jina la Lowassa
Hivi karibuni naona vijana wa CHADEMA wanamwagia sifa sana mzee baba Mbowe, naombeni mtuambie ni nini haswa kinachomfanya Mbowe apokee sifa zote hizo wakati kila mtu anajua ni kada mtiifu wa CCM.
Whats so special about him?
Kwa sababubalishindana na shetani na akashindaNawasalimu kwa jina la Lowassa
Hivi karibuni naona vijana wa CHADEMA wanamwagia sifa sana mzee baba Mbowe, naombeni mtuambie ni nini haswa kinachomfanya Mbowe apokee sifa zote hizo wakati kila mtu anajua ni kada mtiifu wa CCM.
Whats so special about him?
Mataga vipi ukuu wa wilaya? Vijana wa mbowe wamejazana kwenye ukuu wa wilaya kina nasari kina msando. Nyie uvccm mnabwabwaja tualishindana wap mkuu> amka usingizini
Namaanisha ni mjanja na anajua kucheza na akili.aje mkuu, elezea
Umepata jibuhujajibu swali,
Kwa sababu ndyo Rais wa nchi. Umewahi kumsikia akimtaja Clatou Chota Chama? Mbowe n mwanasiasa ila hataji wasiohusika na uongoz wa nchi.mkuu mbna yeye anamtaja mama samia na ccm mda wote akishika mike
Kwa sababu ndyo Rais wa nchi. Umewahi kumsikia akimtaja Clatou Chota Chama? Mbowe n mwanasiasa ila hataji wasiohusika na uongoz wa nchi.