Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,869
- 54,105
Hauna macho au masikio umemuazima mtu?🤣🤣🤣🤣eeeh na wewe huna jibu
Hauna macho au masikio umemuazima mtu?🤣🤣🤣🤣eeeh na wewe huna jibu
KAULI CHONGANISHI!Nawasalimu kwa jina la Lowassa
Hivi karibuni naona vijana wa CHADEMA wanamwagia sifa sana mzee baba Mbowe, naombeni mtuambie ni nini haswa kinachomfanya Mbowe apokee sifa zote hizo wakati kila mtu anajua ni kada mtiifu wa CCM.
Whats so special about him?
Ukishajua sababu utapata jibu la kuhusu mbowe!!duu kazi kweli kweli
Hayakuhusu.Nawasalimu kwa jina la Lowassa
Hivi karibuni naona vijana wa CHADEMA wanamwagia sifa sana mzee baba Mbowe, naombeni mtuambie ni nini haswa kinachomfanya Mbowe apokee sifa zote hizo wakati kila mtu anajua ni kada mtiifu wa CCM.
Whats so special about him?
Mbowe anawatisha sanaaa! Hamuishiwi maneno juu yake ama kweli lile ni JEMBE LIOGOPENI!Nawasalimu kwa jina la Lowassa
Hivi karibuni naona vijana wa CHADEMA wanamwagia sifa sana mzee baba Mbowe, naombeni mtuambie ni nini haswa kinachomfanya Mbowe apokee sifa zote hizo wakati kila mtu anajua ni kada mtiifu wa CCM.
Whats so special about him?
Tanzania! Huko Hai kuna kitoto cha nyoka kipo jela baada ya jokakuu kufa!alishindana wap mkuu> amka usingizini
Kuweza kuwa mwalimu bora wa wana siasa,japo mnambeza.mambo kama yapi ya uelewa mbowe anaowazidi wengine mfano?
Nani wa kumpinga?kwahio pia wanafanya praise and worship upande wa pili saaahv?