johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,751
- 143,201
Vijana wa CHADEMA ya Ufipa wanaonekana kutofurahia uteuzi wa Dkt. Philip Mpango kuwa Makamu wa Rais.
Je, ni kwa sababu amewashauri Wabunge wa upinzani kuhamia CCM au kuna jambo lingine?
Kila zama na kitabu chake!
Maendeleo hayana vyama.
Je, ni kwa sababu amewashauri Wabunge wa upinzani kuhamia CCM au kuna jambo lingine?
Kila zama na kitabu chake!
Maendeleo hayana vyama.