Mgaya!
Hata huoni HAYA!. Hata kuandika Kilimanjaro hujui. Sio watano wanaotoka Kilimanjaro wewe. Maulidan Anna Komu(Toka Znz mgombea mwenza 2005 mkazi wa Zanzibar, mzaliwa wa Kwabijokha Zanzibar), Mhonga Saidi(Toka Kigoma). Halima Mdee(Mpare, Mwakilishi wa DSM, toka Jimbo la Ubungo). Lucy Owenya(Mchaga, Mwakilishi wa Kilimanjaro); Suzan Lyimo(Mchaga, Mkazi wa DSM, ameteuliwa kama mwakilishi wa Vyuo Vikuu. Mfanyakazi wa Miaka zaidi ya 10 UDSM). Grace Kiwelu(Mchaga, Mbunge wa Viti maalum term ya pili. Huyu wanachama wengi waliomba aendelee kutokana na mchango wake 2000-2005 hususani katika kujenga chama mikoani. Znz tuliunga mkono.).
Sasa we hujui hesabu? Hapa wachaga ni watano?
Na kwani uliambiwa kigezo cha kuteuliwa kilikuwa uchaga wao? Kwa hiyo unataka kusema kamati kuu iliyokuwa na watu wakigoma wengi kuliko kabila lingine ilipitisha vigezo vya kuwapendelea wachaga? Au kamati ya wazee iliyokuwa na wajumbe 5 mchaga akiwa mmoja tu ilipendelea wachaga? Au uongozi wa kitaifa, ambao mchaga ni mmoja tu. Wakati huo nakumbuka Zitto alikuwa mkurugenzi wa uchaguzi ndiye aliyehusika na kupitisha majina kama katibu wa kamati aliamua kupendelea wachagga? Au unataka kusema Zitto naye ni mchagga? Hebu muulizeni Zitto hapa kama aliamua kupendelea wachagga kama kigezo chake.
We haya tu
Asha
Asha,
Nadhani unamuongelea MkamaP hapo juu na sio Mgaya