Kwanini Chadema haiwalipi hawa?

Kwanini Chadema haiwalipi hawa?

MKJJ: Chadema haijatumia umaarufu wa viongozi wake kujiimarisha kitaasisi na hasa kimapato, au niweke hivi: viongozi maarufu wa chadema hawajatumia vizuri umaarufu wao kuiimarisha chadema kitaasisi na kifedha ili kuondokana na utegemezi wa watu wachache. Tunaelekea kufanya kosa walilofanya akina Mrema-walijiimarisha wao bila kuimarisha NCCR institutionally kiasi kwamba walipobomoka wao kitaswira na NCCR nayo ikabomoka kitaasisi.

Nafikiri ni muhimu sana upaaji wa kisiasa wa viongozi uende sambamba na upaaji wa chama kitaasisi maana binadamu hupita lakini taasisi zinabaki. Kwa utaratibu uliopo sasa hivi ina maana siku viongozi wanaokisaidia chama ikitokea wakayumba kifedha na kitaswira ina maana kuna uwezekano mkubwa chama nacho kikayumba! Yours was a big challenge and I do hope it will be taken up somewhere in chadema's deliberation forums!

QUOTE]

Sema wewe kiazi.
 
Mnapewa idea nzuri zifanyieni kazi. Mkiendelea kudhani kufungua matawi nje ni "upuuzi" mjue mnakosea. Take this example, kila mwanachama wa CCM London anatoa pound 30 kila mwaka kwa ajili ya Chama. Kukiwa na shughuli watu huc´hangishana pia. Hivyo basi siku kukiwa na mahitaji watu wako standby kukisaidia chama. Huo ndio umuhimu wa tawi, ni tofauti na kufuata mtu mmoja mmoja.Jifunzeni toka CCM.

Dr. Slaa anaonyesha moyo wa kuwa tayari kujifunza toka kwa CCM anapotoa mfano wa wana TANU walipokuwa wanajitolea, lakini inabidi akumbuke kuwa TANU ilikufa tangu mwaka 1977 sasa CHADEMA wajifunze kwa CCM ya sasa sio TANU, hii ni karne nyingine.Acheni kulalamika, jifunzeni mtaona njia.

Wewe umeambiwa kuwa ccm kumejaa wizi na ufisadi tupu lakini bado unasisitiza wapinzani kujifunza ccm?
 
Mnapewa idea nzuri zifanyieni kazi. Mkiendelea kudhani kufungua matawi nje ni "upuuzi" mjue mnakosea. Take this example, kila mwanachama wa CCM London anatoa pound 30 kila mwaka kwa ajili ya Chama. Kukiwa na shughuli watu huc´hangishana pia. Hivyo basi siku kukiwa na mahitaji watu wako standby kukisaidia chama. Huo ndio umuhimu wa tawi, ni tofauti na kufuata mtu mmoja mmoja.Jifunzeni toka CCM.

Wewe nawe umengangania hoja ya kufungua matawi nje kama ndiyo njia pekee ya kuchangia vyama. Watu wanaweza kuchangia chama hata kama hawana tawi nje ya nchi.

Dr. Slaa anaonyesha moyo wa kuwa tayari kujifunza toka kwa CCM anapotoa mfano wa wana TANU walipokuwa wanajitolea, lakini inabidi akumbuke kuwa TANU ilikufa tangu mwaka 1977 sasa CHADEMA wajifunze kwa CCM ya sasa sio TANU, hii ni karne nyingine.Acheni kulalamika, jifunzeni mtaona njia.

Mara unasema kuwa hutetei mafisadi na kumbe kila maandishi yako ni ya ufisadi tupu
 
No offence meant jamani. I take my words.

I meant wote tu wanaokaa tu vidole juu, wawe ulaya au mbagala wote sawa. Unaweza kuchangia CHADEMA kama we ni mwanaCHADEMA au mpenzi wa siasa za demokrasia na maendeleo hata ukiwa mbiguni. Au unaweza kuandika makala.

By the way, mbona sijaona ukichambua masuala haya kwenye makala zako za jumatano? Hizi ni hoja zinazokosa mtetezi matokeo yake Habari za Balille za kupikwa kwenye mtanzania na Rai ndio zinawafanya wananchi waamini kuwa Chacha ni Shujaa aliyesimamishwa kama Vile Zitto alivyosimamishwa na CCM. Kumbe Chacha is a piece of crap. Nikikutana nae nitampasha maneno yake na nitawaletea mazungumzo yake nami kwenye http://ashawazenj.blogspot.com. This guy is eating his own flesh for no apparent reasons! Kila mwanachama ana haki ya kukosoa lakini hakuna mwenye haki ya kusambaza uwongo, uzushi na majungu.

Asha
uongo gani huo ina maana wale wabunge wa kuteuliwa sita wa tano hawatoki kirimanjaro.??
 
We Kuhani nawe....kazi yako kuangalia vimakosa vidogo vidogo na kukosoa.....

Si kweli.

Hii ishu ya kunyoosha vidole kutoka Ulaya ni muhimu kwa Mwanakijiji kwa sababu ndio karata jokeli wanayoitumia critics wake na wote walioko nyumbani wanaokosolewa na Watanzania walioko nje. (Nadhani hata mawaziri washawahi sema hicho kitu.)

Lakini kwa hapa sijaona Asha Abdala kasema tunanyoosha vidole kutoka Ulaya. Amesema tunanyoosha vidole, lakini hajasema kutoka Ulaya. Concern ya Mwanakijiji hata mimi nai appreciate lakini hapa fairly speaking Asha hajasema tunanyoosha vidole toka Ulaya. It's all about striving to apply unbiased and consistent standards. That's all.

Kuhusu kokosoa vitu vidogo vidogo, uliwahi ku raise hii ishu na Pundit, akakuelewesha umuhimu wake, na mwishoni ukajibu umemuelewa. Sasa hapa naona kama una apply a different standard kwangu au una backtrack from ulichokubali awali. Kwamba kusahihishana hata kwa madogo kuna umuhimu wake. Unakumbuka ule mjadala?
 
Si kweli.

Hii ishu ya kunyoosha vidole kutoka Ulaya ni muhimu kwa Mwanakijiji kwa sababu ndio karata jokeli wanayoitumia critics wake na wote walioko nyumbani wanaokosolewa na Watanzania walioko nje. (Nadhani hata mawaziri washawahi sema hicho kitu.)

Lakini kwa hapa sijaona Asha Abdala kasema tunanyoosha vidole kutoka Ulaya. Amesema tunanyoosha vidole, lakini hajasema kutoka Ulaya. Concern ya Mwanakijiji hata mimi nai appreciate lakini hapa fairly speaking Asha hajasema tunanyoosha vidole toka Ulaya. It's all about striving to apply unbiased and consistent standards. That's all.

Kuhusu kokosoa vitu vidogo vidogo, uliwahi ku raise hii ishu na Pundit, akakuelewesha umuhimu wake, na mwishoni ukajibu umemuelewa. Sasa hapa naona kama una apply a different standard kwangu au una backtrack from ulichokubali awali. Kwamba kusahihishana hata kwa madogo kuna umuhimu wake. Unakumbuka ule mjadala?

alisema kukaa pembeni, na tafsiri yangu Ulaya na pembeni kwingine... na yeye akafafanua kuwa yawezakuwa Ulaya au Mbagala...
 
uongo gani huo ina maana wale wabunge wa kuteuliwa sita wa tano hawatoki kirimanjaro.??

Mgaya!

Hata huoni HAYA!. Hata kuandika Kilimanjaro hujui. Sio watano wanaotoka Kilimanjaro wewe. Maulidan Anna Komu(Toka Znz mgombea mwenza 2005 mkazi wa Zanzibar, mzaliwa wa Kwabijokha Zanzibar), Mhonga Saidi(Toka Kigoma). Halima Mdee(Mpare, Mwakilishi wa DSM, toka Jimbo la Ubungo). Lucy Owenya(Mchaga, Mwakilishi wa Kilimanjaro); Suzan Lyimo(Mchaga, Mkazi wa DSM, ameteuliwa kama mwakilishi wa Vyuo Vikuu. Mfanyakazi wa Miaka zaidi ya 10 UDSM). Grace Kiwelu(Mchaga, Mbunge wa Viti maalum term ya pili. Huyu wanachama wengi waliomba aendelee kutokana na mchango wake 2000-2005 hususani katika kujenga chama mikoani. Znz tuliunga mkono.).
Sasa we hujui hesabu? Hapa wachaga ni watano?

Na kwani uliambiwa kigezo cha kuteuliwa kilikuwa uchaga wao? Kwa hiyo unataka kusema kamati kuu iliyokuwa na watu wakigoma wengi kuliko kabila lingine ilipitisha vigezo vya kuwapendelea wachaga? Au kamati ya wazee iliyokuwa na wajumbe 5 mchaga akiwa mmoja tu ilipendelea wachaga? Au uongozi wa kitaifa, ambao mchaga ni mmoja tu. Wakati huo nakumbuka Zitto alikuwa mkurugenzi wa uchaguzi ndiye aliyehusika na kupitisha majina kama katibu wa kamati aliamua kupendelea wachagga? Au unataka kusema Zitto naye ni mchagga? Hebu muulizeni Zitto hapa kama aliamua kupendelea wachagga kama kigezo chake.

We haya tu

Asha
 
Si kweli.

Hii ishu ya kunyoosha vidole kutoka Ulaya ni muhimu kwa Mwanakijiji kwa sababu ndio karata jokeli wanayoitumia critics wake na wote walioko nyumbani wanaokosolewa na Watanzania walioko nje. (Nadhani hata mawaziri washawahi sema hicho kitu.)

Lakini kwa hapa sijaona Asha Abdala kasema tunanyoosha vidole kutoka Ulaya. Amesema tunanyoosha vidole, lakini hajasema kutoka Ulaya. Concern ya Mwanakijiji hata mimi nai appreciate lakini hapa fairly speaking Asha hajasema tunanyoosha vidole toka Ulaya. It's all about striving to apply unbiased and consistent standards. That's all.

Kuhusu kokosoa vitu vidogo vidogo, uliwahi ku raise hii ishu na Pundit, akakuelewesha umuhimu wake, na mwishoni ukajibu umemuelewa. Sasa hapa naona kama una apply a different standard kwangu au una backtrack from ulichokubali awali. Kwamba kusahihishana hata kwa madogo kuna umuhimu wake. Unakumbuka ule mjadala?

Nilimkubalia Pundit kwa vile sikutaka kuendelea kubishana. You know him, he can argue until the cows come home. So I was like, okay, I understand, and KIM (kept it moving) but it doesn't necessarilly mean I agree with his nit-picky of every single solitary little thing. Jamaa huwa hakubali kushindwa. Mtabishana weee...ukimkamata....anabadilisha lugha na vocabulary ili kupoteza lengo na mantiki nzima ya mnachobishania. Kwa hiyo dawa yake ni kumkubalia tu....afterall, hapa ni kijiweni tu. So my friend, I'm not using a different standard for you.....if I see that you're following in his footsteps (being argumentative)....I'll do the same to you.
 
alisema kukaa pembeni, na tafsiri yangu Ulaya na pembeni kwingine... na yeye akafafanua kuwa yawezakuwa Ulaya au Mbagala...

Umebadilisha alichosema.

Yeye kasema msikae pembeni mnanyoosha vidole.

Wewe ukasema una take offense kwa kuambiwa unakaa Ulaya unanyoosha vidole.

Umechomekea kitu ambacho hakusema.

Kukaa pembeni unanyoosha vidole na kukaa Ulaya unanyoosha vidole ni criticisms mbili tofauti. Na unajua.

Umekimbilia kuji defend wakati hakukuwa na offense.

Ume mu accuse bure kwa kuku offend. Wenye macho wanaona hapa hakukuwa na offense.

Amesema tusikae pembeni tunanyoosha vidole, hakusema tusikae Ulaya tunanyoosha vidole
 
Back
Top Bottom