Agenda hapa ni ccm.hiyo ya Chadema ni siku nyingine.kuna maswali muhimu sana ya me ulizia na mtoa Mada ambayo yanahitaji yapatiwe majibu.Kwanza napenda kumjulisha mtoa Mada kuwa kwa wakati huo na kwa wagombea wote Magufuli was the best na ndio maana alichaguliwa na wajumbe wengi wa halmashauri kuu.Kwann chadema ilinunuliwa na mtu waliyetuaminisba kuwa n fisad kwa takriban 10 yrs na kubadil gia angan kumpa ridhaa ya kugombea urais ikiwatelekeza makada wake jangwan??