Kwanini CCM iliwaacha wagombea bora ikatuletea Magufuli?

Masikini Manji.
 
Binafsi nilipofika kuchagua Rais niliacha wazi sikuona mtu anayefaa kuwa Rais jamaa waliyempa ni mbinafi sana na mpenda sifa mtu kama huyo hafai kabisa
 
Na safari ya Dodoma ndio imeanza rasmi. Ukitaka visa ya kwenda nje ya nchi panda bombardier au basi kuelekea Dodoma.

Wanasema usiyempenda kaja.
 
nadhani wanajuta wameingiza jini maana nchi sasa ni varu varu jamaa amelosto
 
Na jamaa mwenyewe anajua hakuwa CHAGUO LA WanaCCM, kwasasa yuko BUSY anatengeneza CCM YAKE TU NDANI YA CCM ( KUNDI LAKE TIIFU ) halafu anawapigia na kampeni kabisa. Refer Mahiga IRINGA.

Kilele ni 2019 kura ya MAONI CCM. Watu WATAKATWAAAAAAAAAAAAAAAA
 
Kuna mwalimu mmoja alikuwa anafundisha darasa la vichaa , ulipofika muda wa kurudi watoto nyumbani yule mwalimu akafunga mlango halafu akachora ukutani mlango kwa chaki upande wa nyuma, akawaambia wanafunzi wake tokeeni mlango ule wa nyuma . Basi wale wanafunzi wakakimbili na kujazana pale mlango wa kuchorwa kila mmoja akilalamika nipishe nipite . Lakini mwanafunzi mmoja alibaki kwenye dawati. mwl akadhani yule aliyebaki kwenye dawati atakuwa amepona, akamsogelea na kumuuliza mbona wewe umekaa tu kwenye dawati hutaki kwenda nje.mwanafunzi Akamjibu unafikiri wale wanaweza kupita pale mlangoni, mwalimu akamuuliza kwa nini wasipite. Yule mwanafunzi akajibu funguo za ule mlango wa nyuma ninazo mimi.
Kuna wakati unaaweza ukamdhania mtu ndivyo sivyo
 
Walimjua fika Dr. John Magufuli - Kuwa Haambiliki!
Walimjua kabisa kuwa Daktari Jiwe hatishiki!
Walifahamu JP ni Mkali na Si Mpole!
Walijua kuwa Ni Mtu mwenye Caliber ya kipekee sana! - Get things done by any means necessary!
Walijua kuwa hapendi kupingwa pingwa hivi!
Walifahamu fika kuwa si rafiki sana wasiasa za mijadala!
Walifahamu kuwa Haipendi CCM!
Walifahamu kuwa yeye wapinzani kwake ni Rafiki zake wakubwa ...Hasa pale inapotokea hawampingi yeye.
Lakini bado Halmashauri Kuu ikamteua na Kumwamini kuipaisha CCM Juu!
JPM Tunyooshe Baba! we do feel The HEAT!
 
Yaan unatutajia membe?? Huna akili na hazikutoshi, alafu unataja Mark mwandosya, aliyeihujumu TTCL??? Unaumwa ukapimwe akili
 
Rais wetu Magufuli tumepewa na Mwenye Enzi Mungu walahi
 
Labda shetani kwenye alimashaur kuu ya ccm alkua kazni effectively
 
Kwann chadema ilinunuliwa na mtu waliyetuaminisba kuwa n fisad kwa takriban 10 yrs na kubadil gia angan kumpa ridhaa ya kugombea urais ikiwatelekeza makada wake jangwan??
Hivi wewe CDM inakuwasha sana pa unyeo? Maana mleta mada wala hajaitaja, Ila wewe, kama huna cha kuchangia kamtikisie unyeo jamaayako, nadhani yeye anauhitaji. Wanaume tukijadili mambo ya msingi utuache.
 
Hebu sema shida yako ni nini, wenye uwezo wa kusaidia japo kwa mawazo waje front wakufariji kwasababu hii thread imekaa kama vile no.1 ameshaingilia mishe zako.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…