GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,091
- 110,166
Kwahiyo ukiomba huo mwisho mwema ndiyo hutojisaidia (hutoukweka ) ukikata Roho?Ndo maana tunakumbushwa mara nyingi kuomba mwisho mwema
Ukiona GENTAMYCINE naleta Jambo hapa jua nina uhakika nalo na nimeshalifanyia Utafiti toka kwa Credible Sources sawa?Si kweli
You're not a Mortuary Attendant / a Doctor and you will never be the one okay?Kazi yangu inahusika sana na last moments za ndugu nzetu, naomba nikuambie hii haina ukweli wowote.
Inatokeaga ila siyo kweli kwamba kila anayekata roho lazima ajisaidie haja kubwa. Ni 1 kati ya 1000 ndiyo humpata hii scenario.
Hakuna Mwanadamu ambaye akikata Roho tu ( akifa ) hajisaidii hata kama ni kidogo au chembe zake.Sio wote.
Anatafakari Kwanza jinsi nae atakavyokunya ( ukweka ) pale akifa.Tumuite @Mshanajr aje atuambie maana ana taaluma juu ya haya.
Umeshuhudia watu wakifariki dunia nzima? Acha kulazimisha wote tuamini huo ujinga.Ukiona GENTAMYCINE naleta Jambo hapa jua nina uhakika nalo na nimeshalifanyia Utafiti toka kwa Credible Sources sawa?
Fanya Experiment ya kumziba pua mbwa au paka Moja Kwa moja utaona akitoa haja.Jamaa Fulani alifumania wahuni wakamziba pua mpaka akajisaidia wakamuachia.Akazinduka baada ya nusu saaNangojea kwa hamu sana kusoma Maoni yenu ya Kitaalamu Enyi Wajuvi wa JamiiForums kwani nimedokezwa tendo la Mwanadamu kujisaidia haja kubwa ( Wazaramo wanasema Kuukweka ) pale tu akikata Roho ( Akifa ) ni la Kisayansi zaidi hivyo nitafurahi Nikielimishwa juu ya hili.
Unaonyesha ukifa utakunya sana tu!!Umeshuhudia watu wakifariki dunia nzima? Acha kulazimisha wote tuamini huo ujinga.
Daily tunafanya CPR na hakuna anayejisadia.Hakuna Mwanadamu ambaye akikata Roho tu ( akifa ) hanyi hata kama ni kidogo au chembe zake.
Naona mnaogopa Kunya mkifariki.
Na Wewe unaamini Ukifa hutojisaidia?Daily tunafanya CPR na hakuna anayejisaidia.
Acha ubishi mkuu, hizo ni stori za vijiweni.
Hii hoja ungeiweka kule siasa.Nangojea kwa hamu sana kusoma Maoni yenu ya Kitaalamu Enyi Wajuvi wa JamiiForums kwani nimedokezwa tendo la Mwanadamu kujisaidia haja kubwa ( Wazaramo wanasema Kuukweka ) pale tu akikata Roho ( Akifa ) ni la Kisayansi zaidi hivyo nitafurahi Nikielimishwa juu ya hili.