Kwanini Bashiru Ally anaficha kilichompeleka Zanzibar ?

Kwanini Bashiru Ally anaficha kilichompeleka Zanzibar ?

Zitto anatapatapa

Anajua ubunge Ndio bai bai
Ukiambiwa Zwazwa unalalamika! Sasa hapo Zitto kakosea wapi wakati yeye AME quote maandishi ya Maalim Seif?
Jaribu kuwa unasoma na kutafakari kwanza, acha genye kudandia kila kitu usije ukadandia visivyo.
 
Ukiambiwa Zwazwa unalalamika! Sasa hapo Zitto kakosea wapi wakati yeye AME quote maandishi ya Maalim Seif?
Jaribu kuwa unasoma na kutafakari kwanza, acha genye kudandia kila kitu usije ukadandia visivyo.

Yaani Zito ndio ameshika akili za wapinzani, na yote haya ni kwa sababu hakuna tena anayempa maburungutu kama wakati wa JK. Imekula kwenu, then nimesikia ati Mbowe na TL wanasema hawakaribishwi Ikulu kunywa chai na JPM. Yaani wakaribishwe kwa kisa gani? Kwani wengine wanaokaribishwa hawastahili? Who the hell do they think they are?
 
Vita ya Tanzania itaanzia Zanzibar na kisha itaenea mikoa ya Tanganyika,na huo ndio utakuwa mwisho wa amani ya Tanzania.

Wazanzibar wanauwezo wa kifanya lolote kwaajili ya nchi yao,Bashiru usitiharobie nchi,stop
 
Yaani Zito ndio ameshika akili za wapinzani, na yote haya ni kwa sababu hakuna tena anayempa maburungutu kama wakati wa JK. Imekula kwenu, then nimesikia ati Mbowe na TL wanasema hawakaribishwi Ikulu kunywa chai na JPM. Yaani wakaribishwe kwa kisa gani? Kwani wengine wanaokaribishwa hawastahili? Who the hell do they think they are?
Usikute were ni kiongozi mkubwa huko ccm, ndiko tulikofikia sasa kwenye chama hicho! Tufanye maombi sana
 
Hawa watu wanapanga maovu mengi sana, ila hatutawaacha wafanye kama wanavyotaka hii nchi sio mali yao .
 
Hehehe Siasa za ulaghai zimefika mwisho
Huku Kigoma hawezi tena kupita. Kwahiyo anaanza kutengeneza mazingira ya kuonewa huruma. 2020 atabaki mbunge wa jimbo la twita[emoji12]
 
  • Thanks
Reactions: Ole
Usikute were ni kiongozi mkubwa huko ccm, ndiko tulikofikia sasa kwenye chama hicho! Tufanye maombi sana

Wacha kunichekesha. Nyie mpo hapa kwa kazi moja, kuangalia matumbo yenu, unaweza ukaona bila aibu, yaani ukikaa na kuangalia huwezi kufeli. You need to wake up and smell the coffee. BTW mimi sina uongozi wowote ndani ya Serikali ya JPM lakini nina uwezo mkubwa sana wa kufahamu mambo na siwezi kudanganywa kama wewe na kundi lako. Actually I can name all of you by your pen names. Just FYI JPM is doing a wonderful job and when his time comes up, you will remember him for the rest of your lives. He will be remembered as the person who changed the mindset of Tanzanians and all Africans. You cannot associate him with the old guards ie JK Nyerere, Nkrumah, Indira Gandhi etc or Martin Luther King in USA. JPM will enjoy so much support and respect not only in Tanzania but all over the world.
 
Vita ya Tanzania itaanzia Zanzibar na kisha itaenea mikoa ya Tanganyika,na huo ndio utakuwa mwisho wa amani ya Tanzania.

Wazanzibar wanauwezo wa kifanya lolote kwaajili ya nchi yao,Bashiru usitiharobie nchi,stop

On your dreams mate!
 
Zitto Naona Tena umeanza kuwashika makalio vijana wako wa post zako za Twitter..
Na unawajua Pakuwashika kweli!.

Ila wenye akili hatuwezi Amini Mrejesho wa kikao chochote bila kuona Maandishi yaliyoambatana na Mihuri husika.

Endelea kuwashika tu hao vijana wa ufipa Maana Vichwa vyao Ni vyeupe Mithili ya debe tupu ndo maana kupiga kelele kwao hata Kama Ni ujinga nikawaida.
Ikitokea hivyo ,utafanyaje..katiyako wewe na zito nani anaweza kupata taarifa zakweli kuhusu hayo
 
Back
Top Bottom