Mbona hutaki kufahamu historia ya shule aliyomaliza darasa la nne, kama alifika, Mwenyekiti wa chama chetu? Angekuwa alifika kidato cha nne kama Mh. Mbowe, uwezo wake hata wa machache tungeshughudia.Ukijaribu kuuliza wasifu wa Mbowe, hasa ashule aliyosomea kidato cha nne na matokeo yake kabla hajaenda kujiunga kidato cha Tano, Jamii Forum aidha wanauondoa uzi au wanakupa ban? Kuna nini Jamii Forum mnazuia taarifa za watu kufahamu historia ya shule ya Chairman Mbowe?
Mbona hutaki kufahamu historia ya shule aliyomaliza darasa la nne, kama alifika, Mwenyekiti wa chama chetu? Angekuwa alifika kidato cha nne uwezo wake wa mengi tungeshughudia.
Beberu wa bara hawafai?Kaenda Pemba kutafuta beberu kama ulikuwa hujui
CV ya Mbowe imo humu humu jf , sasa ukitaka kuleta ujinga mwingine ndio maana unachinjiwa baharini , kwa vile unaonekana mjingaUkijaribu kuuliza wasifu wa Mbowe, hasa ashule aliyosomea kidato cha nne na matokeo yake kabla hajaenda kujiunga kidato cha Tano, Jamii Forum aidha wanauondoa uzi au wanakupa ban? Kuna nini Jamii Forum mnazuia taarifa za watu kufahamu historia ya shule ya Chairman Mbowe?
CV ya Mbowe imo humu humu jf , sasa ukitaka kuleta ujinga mwingine ndio maana unachinjiwa baharini , kwa vile unaonekana mjinga