Kwanini Bashiru Ally anaficha kilichompeleka Zanzibar ?

Kwanini Bashiru Ally anaficha kilichompeleka Zanzibar ?

Aaah NYUMBU mpo wengi kweli.
Nilidhan ungejibu hoja
Mkuu inaonekana tayari zitto ashakushika kunako sehemu husika siyo?.

Siwezi kujibu kwa hoja kitu Ambacho nidhahania.

Kama Ni kweli anachokiongea zitto angeleta na Maandishi ya mhutasali wa hicho kikao kikiwa na Saini zake zote. Hakuna mkutano wowote unaoweza kifanyika pasipo kuwa na mrejesho wa Maandishi. Thus why Nimeona hamna haja ya kutumia hoja sehemu pasipo na hoja za Msingi.
 
Hakuna haja ya kutabiri acha kwanza yatokee ndo tuchangie uzi!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Zitto, sheria inaanzia hapo ilipotungwa kwenda mbele. Kilichotendeka nyuma hakiwezi kuhukumiwa kwa sheria iliyotungwa baadaye.
 
CCM wanahangaika hao, wanafikiri wataitawala nchi hadi kiama..
 
Ph.D Bashiru Ally haiwezi kufanya hayo....... Hizo ni mbinu za wala urojo wenyewe!
PhD hii ya badhiru ndo imemwagiza msajili was vyama asishiriki kikao chochote kinachohusu uchaguzi was serikali za mitata,vingenevyo hana ajira ,Vioja katibu mkuu wa chama kuwa juu ya msajili ya vyama
 
Sheria yoyote huwa inaanzia pale inaposainiwa kwenda mbele siyo kurudi nyuma hivyo haitawaathiri akina maalimu
 
View attachment 1279609
View attachment 1279610

Huu ndio mkakati pekee wa ccm uliobakia kabla ya kuleta vita .
Hivi ukiingia CCM unalambishwa mavi ya kipindupindu?
Ile PHD iliyokuwa na hoja za hekima na busara imegeuka PHALA wa DALADALA
Siwaamini tena wasomi katika maisha yangu!!
Hebu ona
Professor KABUDI kutoka usomi hadi jalalani
Dr Bashiri kutoka uchambuzi hadi kibaka wa daladala
Dr Slaa Mla mihogo hadi mla mavi yake mwenyewe

Tuichunguze hii CCM itakuwa na siri ya kuharibu quality ya binadamu!!
 
Sasa na nyie si muandae mikakati yenu kuboresha chama chenu
nyie kazi yenu kulalamika tu mitandaoni ili muweze kupata sympth
Kikishanuka ndio utakuja kuelewa kisa cha sisi kuweka tahadhari mitandaoni
 
Hivi mpaka ionekane imekufa inatakuwa kutokee nini au akina nani wasiwepo ndo tuone kweli imekufa
Polisi, mahakama, usalama wa taifa na tume ya taifa ya uchaguzi wakitengana na ccm, ujue imekufa rasmi.
 
Back
Top Bottom