domokaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2010
- 3,588
- 1,758
Mbona mlimpangia Lema sehemu ya kwenda
Wenye nchi, wenye mamlaka wanaweza kupanga chochote
Mbona mlimpangia Lema sehemu ya kwenda
Basi mko wengi mkuu maana kwa kubaini kuwa CUF iliomba uchaguzi wa ZNZ ufutwe ni research tosha kabisa ya kustahili hata PHD.Mbowe Ndio alipasua political science Mkuu Huoni alivyowaweka kiganjani wanachama?
wizi tena !Maandalizi ya 2020
Kwani alisema anazunguka kuimarisha chama ?Samahani ila nikuulize wewe jee alipokuwa anazunguka huku bara chama chake kilikuwa hakijaimarika?
Kama mtendaji mkuu hilo ndiyo moja ya jukumu lake [na hii ni kwa chama chochote cha siasa]Kwani alisema anazunguka kuimarisha chama ?
Wala sijapinga bali najiuliza kama ndivyo kwanini alivyoenda Zanzibar alitamka la kuimarisha chama na anapoenda Misungwi hayo hayatamki ?Kama mtendaji mkuu hilo ndiyo moja ya jukumu lake [na hii ni kwa chama chochote cha siasa]
Amekuwa akisema hivyo na ndiyo maana anapoona madudu huyasema na kutoa maelekezo pale inapobidi. Hii ni kwa makatibu wakuu wote hata maalim seif alikuwa anafanya hivyo.Wala sijapinga bali najiuliza kama ndivyo kwanini alivyoenda Zanzibar alitamka la kuimarisha chama na anapoenda Misungwi hayo hayatamki ?
wizi tena !
Kaenda kuhamasisha Janjawidi , unawajua hawa ?We we unasema unajua kilichompeleka huko halafu unataka aseme. Tuambie basis kama unajua
Ph.D Bashiru Ally haiwezi kufanya hayo....... Hizo ni mbinu za wala urojo wenyewe!
Waliosema ccm imekufa hawakukoseaSasa itakuwaje Zito au ndo ishakuwa nzito??
View attachment 1279609
View attachment 1279610
Huu ndio mkakati pekee wa ccm uliobakia kabla ya kuleta vita .
Huwezi kuongoza ccm ya awamu ya 5 kama huna akili za kinyamaPh.D Bashiru Ally haiwezi kufanya hayo....... Hizo ni mbinu za wala urojo wenyewe!