Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,686
- 12,016
Zitto anatapatapa
Anajua ubunge Ndio bai bai
Anajua ubunge Ndio bai bai
Stay tuned .So what?
Bado tu unawaamini Wazee wa Jalalani.....!!?Ph.D Bashiru Ally haiwezi kufanya hayo....... Hizo ni mbinu za wala urojo wenyewe!
Tutaanika kila uchafu mnaopanga kudadeki zenu !!Hawa Wapinzani ni wa kuonewa huruma tu
Wameishiwa hoja wamebaki na viroja
Zitto anatapatapa
Anajua ubunge Ndio bai bai
KweliZitto anatapatapa
Anajua ubunge Ndio bai bai
Hahahaaa....... Nasikia Mwalimu ndio kamchinjia baharini Heche kule Serengeti!Huwezi kuongoza ccm ya awamu ya 5 kama huna akili za kinyama
nje ya madaHahahaaa....... Nasikia Mwalimu ndio kamchinjia baharini Heche kule Serengeti!
CCM ni laanaSasa hao viongozi waliojiunga hivi karibuni watapotezaje sifa kwa mfano!?
Kuliko kuwa mbunge kwenye bunge la makondoo ni bora kuuza barafu za ukwaju za Azam. Watu wenye dhiki ndio wanaweza kufurahia hilo bunge linaloburuzwa na jiwe.
Tulia nchi inyooshwe na pasi ya motoLakini Wajua Walipeleka Taifa Kwenye Machafuko ya kulazimisha.
Wanaolaaniwa ndiyo wenye mafanikio sijui kwa nini!!!CCM ni laana
Ni mitego ya shetani tuWanaolaaniwa ndiyo wenye mafanikio sijui kwa nini!!!
Zitto Naona Tena umeanza kuwashika makalio vijana wako wa post zako za Twitter..
Na unawajua Pakuwashika kweli!.
Ila wenye akili hatuwezi Amini Mrejesho wa kikao chochote bila kuona Maandishi yaliyoambatana na Mihuri husika.
Endelea kuwashika tu hao vijana wa ufipa Maana Vichwa vyao Ni vyeupe Mithili ya debe tupu ndo maana kupiga kelele kwao hata Kama Ni ujinga nikawaida.