Kwanini baadhi wadada/wanawake mna vitambi?

Kwanini baadhi wadada/wanawake mna vitambi?

Sosthenes Maendeleo

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
2,742
Reaction score
1,725
Nimekuwa nikiwachunguza sana madada wa siku hizi lakini sababu sikuweza kuifahamu haraka maana hata kama nipo na mpenzi wangu huwa sipendi kumuuliza jambo hili.

Siku hizi wadada wengi wanakuwa na kitambi kidogo chini ya kitovu ukilinganisha na zamani. Mdada tu akipevuka utakuta anakuwa na kakitambi fulani chini ya kitovu.

Nilijaribu kutoa majibu ya haraka labda yaweza kuwa ni sababu ya kutoa mimba, kuwa na mahusiano na wanaume wengi, matumizi ya madawa ya kutengeneza umbo nk. Naomba uongezee nk au kama siko sahihi nikosoe.

Samahani matusi sipendi mimi ni mstarabu sana nahisi kama ulivyo wewe.
 
Kila Mtu Ni Mstaarab, Kitamb N Mafuta Na Kwa Sasa Mafuta Hayaend Kw Hps Yanaenda Kwa Tumbo, M Kapo Kameshehen Kameshndikana Kuyeyuka, Ila Hakazuii..
 
Kila Mtu Ni Mstaarab, Kitamb N Mafuta Na Kwa Sasa Mafuta Hayaend Kw Hps Yanaenda Kwa Tumbo, M Kapo Kameshehen Kameshndikana Kuyeyuka, Ila Hakazuii..

Kwa hiyo mkuu unamaanisha wasichana/wanawake wenye kakitambi hawana hips, hilo pia neno maana nawaona hawana taarabu walio wengi
 
016.jpg
 
ukishazaa tumbo linastrech ni wachache wanarudia maumbo yao ya awali,vyakula vinachangaia pia...ila ukisema zamani ilikuwa tofauti hatukuelewi,ulikuwepo hio zamani?
 
Kwa hiyo mkuu unamaanisha wasichana/wanawake wenye kakitambi hawana hips, hilo pia neno maana nawaona hawana taarabu walio wengi

Kwa Sasa Mabint Weng Wa Umr Ule Wa Utam Utam Weng N Wamekua Shpless, Wana Vicontua, Matako Hakuna, Yamehamia Kw 2mbo,
 
Back
Top Bottom