Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
mnhhhhhhhhhhhhhhh
Nini sasa?Usije ukaahirisha safari yetu ya dubai kisa kitambi changu
mnhhhhhhhhhhhhhhh
wanaenjoy vitambi!??? mmh watu wanaujasiri, binti ukishakua na kitambi ata kukusalimia naona shida
Nini sasa?Usije ukaahirisha safari yetu ya dubai kisa kitambi changu
Nimekuwa
nikiwachunguza sana madada wa siku hizi lakini sababu sikuweza kuifahamu
haraka maana hata kama nipo na mpenzi wangu huwa sipendi kumuuliza
jambo hili. Siku hizi wadada wengi wanakuwa na kitambi kidogo chini ya
kitovu ukilinganisha na zamani. Mdada tu akipevuka utakuta anakuwa na
kakitambi fulani chini ya kitovu. Nilijaribu kutoa majibu ya haraka
labda yaweza kuwa ni sababu ya kutoa mimba, kuwa na mahusiano na wanaume
wengi, matumizi ya madawa ya kutengeneza umbo nk. Naomba uongezee nk au
kama siko sahihi nikosoe. Samahani matusi sipendi mimi ni mstarabu sana
nahisi kama ulivyo wewe
Nimerudia kusoma lakini sijaelewa
Haya bhana wasalimieni Dubai. Mimi wa hapahapa
Tena ukiniona unaweza sema nina mimba ya mapacha kumbe ni kitambi changu tu
mama zako wangapi?? km umenisoma nimesema sio wote wanarejea maumbo yao ya awali...nikimaanisha wapo wachache walioweza kurudia shape zao...inahitaji great determination kurudia shape yako ya awali...hata hao akina beyonce wana deadly routine ili wabaki km unavyowaona...
teh teh teh...nimeshindwa pita kimyakimya
Ni maendeleo ya sayansi na teknolojia.......
teh teh teh...nimeshindwa pita kimyakimya
Pole yako jaribu kutafuta paliponona😀😀
Haki sawa kwa wote mkuu, au wewe huna kitambi. Ishara mshukuru mungu pia
Hivi ukivaa nguo ya kubana inafanya uwe na tumbo eeeeh!!!
We Hupendi, Wengne Waenjoy Mi Utam Ya Vtambi
chezea kiepe wewe, umesahau vile vibia vifupi.