Sosthenes Maendeleo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 2,742
- 1,725
- Thread starter
- #61
Ninamshukuru Muumba mkuu kwa kutokuwa na kitambi...
Kitambi kikizidi sana ni karaha. Utatumia pesa mingi kuondoa obesity
Ninamshukuru Muumba mkuu kwa kutokuwa na kitambi...
wadada siku hizi wnakula kinoma, juzi nilidate na mdada m1 hivi maeneo ya sinza cha kushangaza alipofika tu aliagiza kilo moja unusu ya noah huwezi amini alifikiri na mimi ni mtumiaji aliipiga yote na ugali macho yalinitoka du wadada mmezidi kula
Vidonge vya kuzuia mimba.