Kwanini baadhi wadada/wanawake mna vitambi?

Kwanini baadhi wadada/wanawake mna vitambi?

ukishazaa tumbo linastrech ni wachache wanarudia maumbo yao ya awali,vyakula vinachangaia pia...ila ukisema zamani ilikuwa tofauti hatukuelewi,ulikuwepo hio zamani?

Mbona akina beyonce na mama zetu hawana vitambi? Mimi ni wa 1988 mkuu, i am a bit awaresome
 
016.jpg

Hahahahahah, mimi hii kitu nilikatazwa na prof of maths. Siku hizi sili kabisa chips.
 
Nimekuwa nikiwachunguza sana madada wa siku hizi lakini sababu sikuweza kuifahamu haraka maana hata kama nipo na mpenzi wangu huwa sipendi kumuuliza jambo hili. Siku hizi wadada wengi wanakuwa na kitambi kidogo chini ya kitovu ukilinganisha na zamani. Mdada tu akipevuka utakuta anakuwa na kakitambi fulani chini ya kitovu. Nilijaribu kutoa majibu ya haraka labda yaweza kuwa ni sababu ya kutoa mimba, kuwa na mahusiano na wanaume wengi, matumizi ya madawa ya kutengeneza umbo nk. Naomba uongezee nk au kama siko sahihi nikosoe. Samahani matusi sipendi mimi ni mstarabu sana nahisi kama ulivyo wewe

ni vyakula vya sasa na machips ndio maana hata magonjwa yamekua mengi kuliko zamani.
 
Mbona akina beyonce na mama zetu hawana vitambi? Mimi ni wa 1988 mkuu, i am a bit awaresome

mama zako wangapi?? km umenisoma nimesema sio wote wanarejea maumbo yao ya awali...nikimaanisha wapo wachache walioweza kurudia shape zao...inahitaji great determination kurudia shape yako ya awali...hata hao akina beyonce wana deadly routine ili wabaki km unavyowaona...
 
ni vyakula vya sasa na machips ndio maana hata magonjwa yamekua mengi kuliko zamani.

Mimi naona sio tu akina dada, hata wakaka tunaathirika pia. mfn efficiency ya mgegedo inapungua kwa sababu ya take away. Nylon zina tetrachloromethane ambayo ni insoluble organic compound in nature
 
Moja Wapo Ya Sababu Ya Kuzuia Mafuta Kusambaa, Ambapo Mwanamke Mafuta Hukaa Kwenye Hps Na Mwanaume N Ktamb, Ukibana Hayashuk. Cko Vzuri Sana Lakin Ndo Hvo

Nimerudia kusoma lakini sijaelewa
 
Back
Top Bottom