Kwanini Askari hawalipi naulu kwenye usafiri?

Kwanini Askari hawalipi naulu kwenye usafiri?

CARDLESS

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2017
Posts
7,869
Reaction score
16,014
Kwanza niweke wazi mimi sio Askari wa Jeshi lolote lile..

Ila kuna hii tabia ya Askari wengi hasa JWTZ kutolipa nauli katika magari mbalimbali ya usafirishaji..

Nimeona wamefikia hatua sasa mpaka safari ya km hadi 100 mtu mzima halipi nauli. Unakuta askari anatoka Kimara hadi KIBAHA maili moja na Sare zake afu hataki kulipa nauli..

Naomba kuwasilisha....
 
Kwanza niweke wazi mimi sio ASKARI wa jeshi lolote lile..
Ila kuna hii tabia ya Askari wengi hasa JWTZ kutolipa Nauli katika magari mbali mbali ya usafirishaji.. Nimeona wamefikia hatua sasa mpaka safari ya km hadi 100 mtu mzima halipi nauli. Unakuta askari anatoka Kimara hadi KIBAHA maili moja na Sare zake afu hataki kulipa nauli..
Naomba kuwasilisha....
Ukijua itakusaidia nini?
 
Kwanza niweke wazi mimi sio ASKARI wa jeshi lolote lile..
Ila kuna hii tabia ya Askari wengi hasa JWTZ kutolipa Nauli katika magari mbali mbali ya usafirishaji.. Nimeona wamefikia hatua sasa mpaka safari ya km hadi 100 mtu mzima halipi nauli. Unakuta askari anatoka Kimara hadi KIBAHA maili moja na Sare zake afu hataki kulipa nauli..
Naomba kuwasilisha....
Wewe ni kondakta???
 
Mi sio msafirishaji ila nimekutana na hiyo tabia hadi ikanibidi niwape kitambulisho changu ili wajifunze kuwa kulipa ni jukumu la kila msafiri.. ila ni kwa dharula sana na unatakiwa kusema kabla hujapanda huo usafiri..
 
Kwanza niweke wazi mimi sio ASKARI wa jeshi lolote lile..
Ila kuna hii tabia ya Askari wengi hasa JWTZ kutolipa Nauli katika magari mbali mbali ya usafirishaji.. Nimeona wamefikia hatua sasa mpaka safari ya km hadi 100 mtu mzima halipi nauli. Unakuta askari anatoka Kimara hadi KIBAHA maili moja na Sare zake afu hataki kulipa nauli..
Naomba kuwasilisha....

Halafu unakuta anaenda kwa mchepuko
 
Pamoja na yote waliyonayo

Kazi wanayoifanya ya kuhakikisha amani ipo muda wote sio ndogo

Mshahara wengi wapatao ni kidogo hauwatoshi mahitaji yao ya kila siku

Kwa hili acheni wasaidiwe kuwapunguzia ukali wa maisha japo 400 inaweza onekana ndogo ila kwao ina maana kubwa sana
 
Pamoja na yote waliyonayo

Kazi wanayoifanya ya kuhakikisha amani ipo muda wote sio ndogo

Mshahara wengi wapatao ni kidogo hauwatoshi mahitaji yao ya kila siku

Kwa hili acheni wasaidiwe kuwapunguzia ukali wa maisha japo 400 inaweza onekana ndogo ila kwao ina maana kubwa sana
Mshahara tunaolipwa mkuu wa nini sasa..?? Waalimu vipi hawafanyi kazi kubwa??
 
Vipi kuhusu walimu nao😂😂😂😂😂hawalipi kwa sababu wanasaidia watoto wetu kuelimika.....
 
Back
Top Bottom