Rais Magufuli alisema siku anaongea na wafanyabiashara kwamba asipowaridhirisha wanajeshi wa Tanzania watamwingilia Ikulu.
Fear for a good reason.
Wanajeshi kandamizi hawa wa dunia ya tatu hawana discpline wala heshima kwa katiba wala mtu yeyote, wanaweza kuwageuka hata wao wenyewe, imewahi kutokea.
Ile clip chafu ya Nyerere anayotukana "wajeshi malaya... mamluki malaya...wanasiasa malaya... kila kitu malaya... malaya... malaya" ni baada ya wanajeshi wa Calito Barrack kwenda kumchomoa Ikulu wakakuta kakimbilia kwenye shimo la panya Gezaulole, hadi walipo re-negotiate terms za masilahi yao na vitu watakavyokuwa wanapewa bure. Lazima wawaogope.