Wakuu habar za mda?
Hvi ni kwanini ajira nyingi za vyombo vya ulinzi wanahitaji watu waliopita JKT na JKU (kwa Zanzibar)?
MTaani wapo vijana wengi waliosoma na hata ambao hawana elimu ambao hawakubahatika kupita jkt&jku kwa sababu tofauti tofauti, na wana penda kujiunga na vyombo vya ulinzi na wana sifa zote zinazohitajika ukitoa izo za jku&jkt
Sasa ni kwanini nafasi zinapotoka wanahitaji waliopita jkt na jku pekee?
Hvi ni kwanini ajira nyingi za vyombo vya ulinzi wanahitaji watu waliopita JKT na JKU (kwa Zanzibar)?
MTaani wapo vijana wengi waliosoma na hata ambao hawana elimu ambao hawakubahatika kupita jkt&jku kwa sababu tofauti tofauti, na wana penda kujiunga na vyombo vya ulinzi na wana sifa zote zinazohitajika ukitoa izo za jku&jkt
Sasa ni kwanini nafasi zinapotoka wanahitaji waliopita jkt na jku pekee?