Kwanini ajali ya mabasi 2 na lori la mafuta kuungua moto iliotokea Mlandizi haiongelewi? Wembamba wa Morogoro Road ni janga la taifa

Wembamba wa barabara?!

Hiyo barabara imekuwa nyembamba wakati wa ajali?

Haya mabasi tuna madereva wa hovyo sana. Hapo mtu ame-overtake bila kuwa na uhakika wa kufika upande wa pili.

Ajali nyingi za Tanzania ni za kujitakia haswa kwa madereva wanaotaka kuwahi bila kuzingatia usalama.
 

Ukiachana na madereva Barabara ni nyembamba mno mkuu.
 
Na ingeishia Mlandizi pia umgesema kwanini inaishia Mlandizi, maana ajali inaweza tokea mbele ya Mlandizi, sivyo?
Hamna, kufikia chalinze tu magari yanakua yashaanza kusambaa route tofauti tofauti, Lkn ili iwe na tija zaidi Ilibidi iishie morogoro.

Kipandr cha mlandizi hadi mbezi ndio lango la dar kwa mikoa mingi, kwa maana kwamba gari zote sijui kutoka mbeya, arusha, mwanza, ddm, nk.... yanashare hicho kipande
 
Kwani iliyoishia Kibaha imezinduliwa lini?
 
Ukiachana na madereva Barabara ni nyembamba mno mkuu.
Dereva anatakiwa kuendesha kulingana na hali ya barabara . Barabara nyembamba inauendeshaji wake kwa dereva anaejielewa.
Tunamadereva wa ovyo sana
 
Dereva wa basi la BM angeweza kuwapa tahadhari hao wa nyuma yake kwa vile yeye alikuwa analiona lori lililoharibika mbele yake. Yaani wakati mwengine madereva wanaokuwa mbele wanakuwa na mamuuzi ya kishetani kabisa kwa kuwakomoa wa nyuma yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…